Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex. Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika...
36 Reactions
745 Replies
39K Views
TUambiane jamani tujue
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi...
26 Reactions
91 Replies
2K Views
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe. Ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21. Nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha Nifanyaje sasa ili niweze kwenda...
2 Reactions
10 Replies
41 Views
Ndugu wajumbe, Naombeni ushauri wa namna nzuri (economically optimal) ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu. Nalenga kupangisha wanafunzi wa chuo/shule, mabachelors, na watu wanaoanza...
5 Reactions
41 Replies
894 Views
Habari za majukumu ndugu zangu, naomba kujua nini faida anazopata mchezaji wa mpira wa miguu baada ya timu yake kushinda kombe. Natanguliza shukrani Pia soma: Usiyoyajua kuhusiana na mchezo wa...
0 Reactions
5 Replies
18 Views
Bill Gates daughter Phoebe Gates with her boyfriend Robert Ross Robert has a Masters of Science in Computer Science from Stanford, & he started working on computers at an early age, just like...
3 Reactions
14 Replies
215 Views
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo. Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya...
21 Reactions
210 Replies
7K Views
Watu hawa wa East Asia:- i, Wakorea ii, Wachina iii, Wajapan. Wana akili sana. Sisi waafrika weusi hatuna akili nyingi sana, tuna akili ndogo tu za kawaida za kuvukia barabara. Ni muhimu sana...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,047
Posts
49,792,041
Back
Top Bottom