Bahati mbaya Anakopa Pesa nyingi sana halafu zinaishia Mikononi mwake na familia yake pamoja na Mawaziri hazifiki kwenye target husika
Mama akiondoka madarakani kuna vita itapiganiwa hii nchi...
Jina kamili: Mamelodi Sundowns Football Club
Nicknames: Masandawana /The Brazilians.
Nchi: Afrika Kusini.
Ngazi ya ligi: Ligi kuu ya Afrika kusini (PSL/DstvPremiership)
Kuanzishwa: 1970...
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30.
Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi...
Naombeni msaada wa mimi mwenyewe. Ni kwamba nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata division 2 ya 21. Nataka kwenda chuo ila mzazi wangu ananilazimisha
Nifanyaje sasa ili niweze kwenda...
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.
Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.
Hivi...
Wazo kuu.
Hili wazo mlifanyie kazi, Kwa maslahi mapana ya nchi zetu, ni kweli katiba ya nchi inatambua uhuru wa kuabudu,
Lakini serikali kupitia taasisi zake mnafaa kuangazia hilo kwani itasaidia...
1.YOU KNHOW GENTLEMAN THERE IS THE HELL AND THERE IS ANOTHER PLACE BELLOW THE HELL😀
2. IF YOUR TIRED DO IT TIRED
3. I DONT PAY FOR SUIT MY SUIT ARE ON THE HOUSE OR THE HOUSE BURN DOWN...
Kutokana na ukomavu wa Rais Samia Suluhu Hassan na chama chake CCM kidemojrasia, taarifa kutoka Lumumba zinasema Samia ameruhusu yeyote anayetaka kuchuana naye kuwania Urais 2025 kupitia CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.