Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini! Mimi nina swali hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha. Najiskia kuchoka sana. Everyday I must worry about something. Yani matatizo hayaishi. Is this life? Being in constant worry and...
13 Reactions
53 Replies
745 Views
Ndugu zangu Watanzania, Napowaambia kuwa David Kafulila ni Chuma nakuwa namaanisha ni CHuma kwelikweli na Mzalendo wa dhati Wa Taifa letu,ambaye huwa hayumbi wala kuyumbishwa wala kutetereshwa...
15 Reactions
119 Replies
1K Views
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo 2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi 3. Kuna...
14 Reactions
158 Replies
25K Views
Lawama kila kanda. Kanda ya ziwa ndio hivyo.. Ujanja ujanja mwingi tu. Huko nyanda za juu kusini ndio kabisa. Hadi kibaraka wa CCM Msigwa analia na kutoa makamasi Dhuluma na ujanja ujanja...
2 Reactions
7 Replies
119 Views
Naamini. moderators mtaaacha hii thread hata kama inawakera. Iła kwa ushahidi ndugu zangu platform hii imeanza kutokuwa sehemu salama kwa mijadala huru. JF Mods wameanza kuondoa threads ambazo kwa...
14 Reactions
29 Replies
138 Views
Salaam wakuu, nahitaji msaada wa kitaalamu, nahitaji kuchimba shimo ili niwe nahifadhi maji Kwa ajili ya ujenzi unaoendelea. Nahitaji kuchimba shimo litakaloweza kubeba ujazo wa litre elf 7...
0 Reactions
10 Replies
240 Views
Habari wana jamvi. Twende kwenye Mada yetu, Igbo ni kabila linalo patikana Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria na nchi nyingine jirani. Kabila hili limesambaa nchi nzima ya Nigeria hasa kwenye...
3 Reactions
18 Replies
242 Views
Nyuki wa mama salaam, wazalendo mpo? Safari ya Korea imezaa imetunda bwana. Kumbe PhD ya Jeshima ilikuwa inatuandaa kwa jambo lenyewe. Inamaama Korea ndio wametuona wajinga kiasi hiki mpaka...
4 Reactions
34 Replies
950 Views
Nakumbuka wakati wa Ujenzi wa barabara ya Makambako Songea wale wakandarasi waliiba sana Madini Wakijifanya wanaenda kutafuta Miamba ya kokoto Maporini Sema tu viongozi wa wakati Walikuwa makini...
7 Reactions
32 Replies
163 Views
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority. ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo...
10 Reactions
57 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,977
Posts
49,790,469
Back
Top Bottom