Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ukikatisha mitaa ya Dar es salaam na Arusha naona vyuma kama BMW, Porsche Cayenne, VW, Audi za kutosha. Haya magari japo ni expensive kuyamaintain kwenye vipuri ila ulaji wake wa mafuta ni wa...
5 Reactions
25 Replies
547 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda, amevunja mkutano kufuatia madai ya Injinia mmoja wilayani Monduli kuidai wilaya hiyo jambo lililofanya aumwe moyo na kufanyiwa oparesheni mara kadhaa.
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Ni wazi kuwa vijana hawa ndio taifa la bdae. Utake usitake, hawa ndio viongozi wetu, ndio waendesha uchumi kwenye maeneo mbalimbali wa hapo bdae. Ila nikitazama mwelekeo wao na fikra zao napata...
0 Reactions
18 Replies
120 Views
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu. Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima...
10 Reactions
96 Replies
2K Views
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa. Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya...
9 Reactions
36 Replies
603 Views
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa...
12 Reactions
109 Replies
3K Views
Wanawake punguzeni roho mbaya na kijicho husda, unakuta mkaka kamuelewa rafiki yako anaomba contanct zake unaanza uchawi wako. Mwenzio pisi kali mkaka anataka kujiweka. Wewe sasa na bichwa lako...
7 Reactions
14 Replies
163 Views
Asalaam, Hawa viumbe, mimi huwa siwaelewi wanataka nini hasa ili kujenga amani na furaha kwa mara nyingi maana mara zote haiwezekani. Wao ni watu wa mood swing, mimi siwezi kazana na hisia za...
9 Reactions
90 Replies
550 Views
Hapa ndipo Mangungu na Try Again wanapolaumiwa na mashabiki wao. Yaani haiwezekani team yenye kombe Moja ifanye parade halafu team yenye makombe mawili ishindwe kufanya parade tena la nguvu kwenye...
3 Reactions
3 Replies
96 Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amefunga ndoa Takatifu Habari zaidi za mnuso na mengineyo zitakujia
17 Reactions
67 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,857,888
Posts
49,731,693
Back
Top Bottom