Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu akana Israel kuangusha Helicopter iliyomuua Raisi wa Iran asema kama ingetaka kulipiza kisasi Kwa Iran Kwa shambulio waliloishambulia Israel Kwa kuwarushia...
12 Reactions
58 Replies
2K Views
Mtaani kuna mambo sana mimi napenda kula, yanga, kucheza mziki na pombe mara nyingi nikiwa ndani ya vitu hivyo huwa nacheka na kufurahi na kupenda kutania watu huwa ninacheka cheka sana yaani...
2 Reactions
9 Replies
81 Views
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza. Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe. Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa...
4 Reactions
21 Replies
239 Views
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/adaiwa-kujifungua-na-kukizika-kichanga-kukwepa-aibu-kuzaa-nje-ya-ndoa-4629590 CHANZO: MWANANCHI
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
26 Reactions
6K Replies
130K Views
Wadau hamjamboni nyote? Niwape pole Ndugu zangu Kwa sisi watu wa hali ya kawaida na Imani tofauti naomba wajuzi mnijuze utaratibu wa kutoa salaam za rambirambi/ pole na kushiriki mazishi ya...
0 Reactions
3 Replies
39 Views
Kwa manufaa na heshima ya nchi ni vema TFF ikahakikisha Simba inaungana na Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa. Nasema hivi kwasababu ndizo timu pekee zilizo serious na mpira wa miguu. Azam ni timu ya...
3 Reactions
20 Replies
331 Views
Sijamsikia siku mbili hizi. Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja. Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
13 Reactions
69 Replies
1K Views
Iran imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa rais mnamo Juni 28, kufuatia kifo cha rais Ebrahim Rais na maafisa wengine katika ajali ya helikopta wakati mazishi yakitarajiwa kufanyika Jumanne...
0 Reactions
3 Replies
164 Views
Wananchi wa Mwanza tumekuwa tukifuatilia kwa karibu ujenzi wa jengo la abiria la uwanja wa ndege la Mwanza linalotarajiwa kuufanya uwanja huu kuwa wa kimataifa. Aliyekuwa RC wa Mwanza Makalla...
2 Reactions
42 Replies
765 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,652
Posts
49,668,514
Back
Top Bottom