Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu salaam...... Leo nakumbusha tu kale kamsemo kalitrend zzzzzzz.... Mwanaume anaridhika na kutamani uzuri wa ke kiasi cha kusema hata awe hana maarifa na utashi lakini akishajaliwa shape na...
1 Reactions
11 Replies
152 Views
Rais Joe Biden ametoa msimamo wake kuwa Marekani haitakuwa tayari kupeleka silaha Israel endapo Israel itaendelea na mpango wake wa kuvamia eneo la Rafah huko Gaza. Tamko hili limemtoa nyoka...
3 Reactions
28 Replies
308 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Tanzania Mhe David Kafulila amesema ule mradi wa barabara za kulipia(toll road) uliokwama tangu awamu zilizopita Sasa kwenye awamu hii ya sita umeiva. Mhe Kafulila...
3 Reactions
12 Replies
43 Views
Mzuka wanajamvi! Kila jamii duniani inaamini vitu flani hasi ama chanya. Kwa mfano hapa Tanzania kuna watu ukiwapa pesa kwa mkono wa kushoto hawakubali, kujitawadha kwa mkono wa kulia siyo...
3 Reactions
8 Replies
55 Views
Kama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao. Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi; Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta...
13 Reactions
48 Replies
881 Views
Natoa pongezi za dhati kabisa kwa safu yote ya Mawaziri chini ya Amiri Jeshi Mkuu Mama Samia. Nieikubali safu hii ya mawaziri aliyo ipanga wanachapa kazi. Kila nikiwasikiliza na kuwatizama...
1 Reactions
8 Replies
40 Views
Ref;-Natafuta mke mkristo, Ila akiwa msabato na awe anaishi dar es salaam itakuwa poa zaidi. Awe mwalimu au nurse au kazi yoyote ya serikali,asiwe muhaya au mjita. Awe na miaka 22-33 asiwe na...
4 Reactions
79 Replies
456 Views
Jambo gani naweza kufanya niweze kulinda shamba langu lisivamiwe na watu nikiwa mbali
1 Reactions
8 Replies
124 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukifuatilia kwa umakini na ukatafakari kwa undani na ukatizama kile anachokifanya Mheshimiwa Makonda Mwamba Mwenyewe katika majukumu yake anayokuwa amepewa na kuaminiwa na...
4 Reactions
39 Replies
344 Views
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
9 Reactions
141 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,470
Posts
49,605,228
Back
Top Bottom