Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Adres Felipe Ballesteros mzaliwa wa Colombia Bogota mwenye umri wa miaka 36 alikamatwa hapa nchini Tanzania mnamo August 2014 kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine akiwa amezifich...
8 Reactions
62 Replies
4K Views
Bila Benki Kuu na Wizara ya Fedha kuongilia kati, naona mgomo mkubwa unanukia Arusha au Nchi Nzima kutoka kwa mawakala wa mabenki na taasisi za fedha wanaokusanya madeni mara baada ya Makonda...
2 Reactions
61 Replies
590 Views
Mungu wa mbinguni mbariki Paul Makonda na program yake ya kuliokoa Taifa Habari njema ihubiriwe kuanzia Mlima Kilimanjaro hadi bwawani kwa mwalimu Nyerere Rufiji Nawatakia Kupaa kwema kwa Masihi...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukifuatilia kwa umakini na ukatafakari kwa undani na ukatizama kile anachokifanya Mheshimiwa Makonda Mwamba Mwenyewe katika majukumu yake anayokuwa amepewa na kuaminiwa na...
1 Reactions
16 Replies
17 Views
Wasalaaaaaam wazeee... Juzi jumapili nilitembelewa na mpenzii wangu ambaye tuna miezi tatribani minne toka uhusiani wetu ulipoanza. Sasa tumekaa sitting room kwenye channel flani ikawa inapigwa...
17 Reactions
33 Replies
781 Views
Salaam, zingatia swali hapo juu. Ati jamani yani kwanini? Kwanini mpaka tuhaidiwe au tutishiwe ndo tuamini, kwahiyo tunafanya kwa kuogopa au kwa kushawishiwa? Mfano: Utaambiwa kuna kuchomwa...
6 Reactions
32 Replies
371 Views
Ni aje wakuu, hii ni post yangu ya kwanza kabisa, ndio kwanza nimeingia hapa. Like yako hapa ni ukaribisho rasmi kwangu. Ahsante
12 Reactions
47 Replies
282 Views
"Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada...
0 Reactions
6 Replies
7 Views
Wiki hii nzima ilikuwa ni semina na kuanza rasmi kwa rehab kwa ndg yetu Adam Mchomvu kabla ya kuanza kutangaza kipindi cha jahazi. Demographically, jahazi inasikilizwa na watu wenye umri 30-70...
4 Reactions
16 Replies
432 Views
Jinsi masuala ya muungano yanavyoshughulikiwa na kwa sasa, ni mtu kipofu wa akili tu ndio hataona kwamba kadiri siku zinavyopita mbegu za uhasama kati ya Tanzania bara na Zanzibar inazidi kuota...
26 Reactions
103 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,417
Posts
49,603,669
Back
Top Bottom