Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ghafra bin Vuu! Unakutana na Mamba kaking'ang'ania kibunda mdomoni. Utachukua maamuzi gani?
1 Reactions
11 Replies
91 Views
Hii ni hadi lini? Mwenzenu naona umri unasonga tu lakini beki hazikabi, yaani jitihada bado hazizai matunda kila nikijaribu kujizuia. Je, ni uvumbuzi wa Tanzania pekee au hadi kwa wenzetu?
4 Reactions
29 Replies
217 Views
It saddens me living in this kind of generation. More stress than ever before. People are careless, unemployment is on it's rise. Religion has become a source of war. Education is business. Our...
2 Reactions
12 Replies
77 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
925 Reactions
1M Replies
40M Views
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Lengo lake lilikuwa kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Zanzibar Kuja Tanganyika na Lengo Nyerere anatakiwa kupewa nishani ya mvutia wawekezaji...
2 Reactions
22 Replies
169 Views
Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa. Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa jana kuna movie moja ya Ki-Nigeria...
25 Reactions
553 Replies
6K Views
Naona kuna watu wanaleta ubishi usio na msingi kuhusu ukubwa wa producer namba moja Tanzania S2KIZZY aka Zombie. Lakini wote wanaobisha wanasukumwa na chuki hawana sababu ya msingi. Ukweli ni...
5 Reactions
10 Replies
77 Views
memba unampa makavu laivu anaenda kukuripoti Kwa mods kwakupeleka ushahidi watusi ulilotukana unapigwa ban unaona fleshi kweli nimekosea ban ikiisha unafunguliwa unaendelea namijadala kistaarabu...
3 Reactions
38 Replies
154 Views
  • Poll
FREEMAN MBOWE TUNDU LISSU JOHN HECHE JINSI YA KUPIGA KURA. 1. Gusa jina la Unayemtaka 2. Shuka chini gusa "Cast Vote" #Kupigakura ni Kwa mgombea mmoja tu vigezo na masharti kuzingatia.
0 Reactions
27 Replies
295 Views
Wakuu habari za Jumapili, Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha msichana unamuomba namba halafu anakunyima, daa inaleta stress sana ila basi tu.
11 Reactions
137 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,985
Posts
49,591,208
Back
Top Bottom