Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
3 Reactions
50 Replies
799 Views
Wewe ndio kocha kwenye timu yako, unatakiwa uchague mmoja kati ya Musiala au Bellingham kwenye kikosi cha kwanza unaenda na nani? Jamal Musiala Jude Bellingham
9 Reactions
69 Replies
3K Views
Supply Of Exercise Books And Or Stationaries The International Rescue Committee, Inc. (IRC) is an international non-governmental, nonsectarian, voluntary organization providing relief, protection...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
1 Reactions
28 Replies
169 Views
Wapi naweza kumpata dalali Arusha ili niweze kutafuta nyumba ya kukàa? Nyumba ya kupangisha, siyo kasri.
0 Reactions
3 Replies
40 Views
Siku ya jana Kanisa la wasabato mafia limebomolewa na kimbunga cha hidaya Siku ya jana pia mvua zimebomoa msikiti saudi arabia Binafsi najiuliza Mungu mwenye nguvu mbona hazilindi nyumba...
0 Reactions
1 Replies
8 Views
Nia ya Serikali ilikuwa nzuri sana kujenga Stendi ya Nyamhongolo ili iweze kuwahudumia wasafiri wote wanaoelekea upande wa Musoma, Sirari/Tarime, Bariadi, Maswa na maeneo yote ya upande huo...
1 Reactions
11 Replies
327 Views
Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa. mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo. Nina mawazo kuacha kazi...
15 Reactions
93 Replies
1K Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
Habari! Hivi hii tabia ya wabunge kutohudhuria vikao bungeni iliyokithiri, inasababishwa na nini? Huo utoro nadhani madam speaker, bunge limemshinda kabisa au wabunge wengi hawaoni umuhimu wa wao...
0 Reactions
2 Replies
141 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,187
Posts
49,567,018
Members
667,816
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom