Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
924 Reactions
1M Replies
40M Views
MITHALI 18:22 Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa BWANA. WAEFESO 5:31 “Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa...
17 Reactions
143 Replies
2K Views
i will be short simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela. contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k...
0 Reactions
7 Replies
23 Views
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, .......napenda kuchukua nafasi hii kumpa mauwa yake waziri wa jinsia na watoto DR Dorothy Gwajima kwa kutatua kero za mtu mmoja mmoja ikiwemo udhalilishaji au...
0 Reactions
4 Replies
91 Views
Tujikumbushe:Kessy ataka wabunge wa Zanzibar watoke nje wizara zisizo za muungano zikijadiliwa Mfano wizara ya Afya Wizara ya Kilimo
2 Reactions
11 Replies
183 Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
2 Reactions
148 Replies
2K Views
Wakati Rais akiwaapisha viongozi aliowateua, alisema aliwaacha Kabudi na Lukuvi kwa lengo la kuwavuta jirani naye kwa lengo la kumsaidia kazi maalum Ikulu. Ilionekana kama hayo majukumu...
0 Reactions
7 Replies
217 Views
Je supu ya ngozi ya ng'ombe inayouzwa maeneo ya mbagala inausalama kiafya Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Supu ya ngozi imayochanganywa na mapupu & bandama ambayo hupelekea...
14 Reactions
107 Replies
2K Views
Waziri Biteko hongera kwa kazi nzuri,ingawa sioni kwamba ni sawa hasa kukupongeza kwa kazi ambayo ni wajibu wako kama Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.Hata hivyo nimekupongeza kwa kuwa...
1 Reactions
5 Replies
72 Views
Almasi au diamonds ni aina ya vito vyenye thamani kubwa sana vinavyoundwa na kaboni iliyoshinikizwa kwa muda mrefu chini ya ardhi. Almasi hutumiwa sana katika mapambo kama pete za kuchumbiana au...
0 Reactions
3 Replies
14 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,376
Posts
49,544,973
Members
667,407
Latest member
Masele mhunzi
Back
Top Bottom