Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakatoliki ni imani Mnapokua mnatetea mambo au kupeleka mambo kidini mjue sio ni wasomi kuliko dini nyingine. Na mnapoonesha kutubagua na kukaa kimya msidhani sisi ni wajinga hapana, tunajitahidi...
0 Reactions
10 Replies
49 Views
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli...
20 Reactions
224 Replies
6K Views
Kama nilivyo waambia wakuu nimesoma degree ya Accounting and Finance Jana nimeandaa barua 9 kwa ajili ya kusambaza kwenye taasisi mbali mbali hapa Arusha ili kuomba internship ila zilizo pokelewa...
2 Reactions
29 Replies
304 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
163K Replies
4M Views
Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za...
13 Reactions
128 Replies
6K Views
Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 now,but mwakani mwez 12 mwakani ninatimiza miaka 29. Kipindi nilipokuwa nina miaka 21-25 nilikuwa namshangaa ndugu yangu mmoja kwamba...
13 Reactions
126 Replies
1K Views
Not to be rude or anything, but I feel like our elders really need to start thinking about retiring. Gosh, I swear employment has been hectic. They come up with the excuse that youth don't want...
1 Reactions
15 Replies
81 Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
57 Reactions
614 Replies
34K Views
Ndugu Mzazi/Mlezi wa JESSY MBOYE Taasisi yamfuko wa elimu na ufadhili TESA imemchagua mwanao kumdhamini kusomeshwa bweni kidato cha 5 na 6 kwa kumlipia ada yote isipokuwa mzazi/mlezi utachangia...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
3 Reactions
190 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,850,441
Posts
49,546,732
Members
667,478
Latest member
ramadhanramadhan
Back
Top Bottom