Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Binafsi ushawah kumtabiria makubwa mchezaj halafu ghafla ukashangaa anapotea kwenye raman ya soka ama kwa kushuka kiwango, majeraha ,au kuhama timu moja kwenda nyingine? Kwa mtazamo wangu...
3 Reactions
20 Replies
326 Views
HAYA NDIO MAKABILA 125 YA TANZANIA ANDIKA NAMBA YA KABILA LAKO UWAJUE NDUGUZO 1. Waalagwa (pia wanaitwa Wasi) 2. Waakiek 3. Wameru 4. Waassa 5. Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang’ati) 6. Wabembe 7...
2 Reactions
38 Replies
483 Views
Tundu Lissu akielezea kuhusu muungano wa mchongo. Aelezea kuhusu wapinga muungano wa kizanzibari kutekwa na kuwekwa vizuizini, Jumbe na wenzake. Sikilizeni hapa cheche zake.
8 Reactions
47 Replies
1K Views
Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena...
9 Reactions
141 Replies
2K Views
Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana. Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa. Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata...
14 Reactions
72 Replies
913 Views
Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto! Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina...
11 Reactions
56 Replies
2K Views
Habari za Leo wapenda soccer? Natumai kichwa/title ya thread hii imejieleza vizuri. Nimewa nikaona nitumie platform hii kwenu ili kama itawezekana, tushawishi viongozi wa mpira kuiondoa michuano...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
924 Reactions
1M Replies
40M Views
Mzee alipata kuwa Jaji mkuu Makamu wa rais Waziri mkuu Mwanasheria mkuu wa serekali Na badae Tena akaja kuwa mwenyekit ya tume ya marekebisho ya katiba Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi...
0 Reactions
9 Replies
103 Views
Toka mwaka jana pm yangu haifunguki nishafungua nyuzi nyingi za kucomplain but nyie mnaojiita viongozi sijui wamaliki wa jf mnaziignore, inabidi mjue bila sisi hampati hela ya ugali. Cookie...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,834
Posts
49,529,234
Members
667,256
Latest member
sir dick
Back
Top Bottom