Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habrin wanajf Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA Kwa hizo location ipi itafit hapo
1 Reactions
10 Replies
60 Views
Nikiangalia ujezi wa reli ya SGR naona una track moja tu inayotoka Dar es Salaam mpaka Dodoma na ujenzi wa kwenda maeneo mengine kama Mwanza na Kigoma ukiendelea. Kuna matarajio makubwa sana...
3 Reactions
23 Replies
228 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
266 Reactions
162K Replies
4M Views
Kabla sijakuandikia stori ya huyu mwamba wa Babeli katika nchi ya Babiloni, ngoja nijaribu na mimi kujiuliza maswali kadhaa. Watu wanasema wale Waisrael wa zamani sio wa sasa hivi, hao wa zamani...
10 Reactions
37 Replies
800 Views
Umuofia kwenu, kwa takribani miezi minne sasa nilishuhudia mbegu mpya kabisa ya panya nyumbani kwangu. Panya hao wana muonekano tofauti na hawa wetu na cha ajabu kabisa wanawawinda panya wale wa...
7 Reactions
52 Replies
1K Views
Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
17 Reactions
239 Replies
3K Views
"SIKU MOJA MOJA SIYO MBAYA" Leo nimekumbuka mwaka 2020 kipindi cha Pasaka, Jijini Arusha, hapo dili la ku-design michoro ya Majengo kadhaa ya Taasisi ya Kanisa limetiki na nka kabidhiwa pesa ya...
23 Reactions
83 Replies
1K Views
Msichojua ndo hicho sasa Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia...
35 Reactions
114 Replies
4K Views
KUINGIA KWA PASSPORT ZANZIBAR NI MTEGO. Mkikubali huu MTEGO utadumbukizwa Kwenye mengine wanayoyadai kirahisi Hakuna Namna mtachomoka
1 Reactions
4 Replies
33 Views
#HABARI Mfanyabiashara wa madini Marwa Masese Festo (55) pamoja na mtoto wake John Marwa (30) wakazi wa Kunduchi Mtongani jijini Dar es Salaam, wameuawa baada ya kupigwa na vitu vizito kichwani na...
13 Reactions
131 Replies
16K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,643
Posts
49,524,486
Members
667,181
Latest member
Enodius
Back
Top Bottom