Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
66 Reactions
326 Replies
7K Views
So when I grew up, especially in school life, I had zero confidence with women. Partly due to my moral upbringing( i guess ) but also I lacked experience. We were mostly supposed to stay at home...
2 Reactions
13 Replies
197 Views
Wakuu nataka nikapumzike Cape Town kama siku 3 hivi. Ndege gani nitapata ticket cheap? Nimechek Rwandair, Ethiopian na Kenya Airways Direct flight to CPT ni maumivu matupu.
0 Reactions
17 Replies
292 Views
Eurotunnel, ambayo pia inajulikana kama Channel Tunnel, ni mfereji wa reli chini ya Bahari ya Kiingereza ambao unaunganisha Uingereza na Ufaransa. Hii ni miundo mikubwa ya uhandisi iliyopo...
7 Reactions
8 Replies
226 Views
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa...
8 Reactions
23 Replies
241 Views
Ama hakika kwa Wimbo huu na hasa ulivyo Mtamu na unavyochangamsha hata Kuucheza JB Mpiana kaamu kufanya Kweli. Unaambiwa sasa iwe ni Congo DR au Congo Brazaville au Angola au Cameroon au Zambia au...
2 Reactions
25 Replies
299 Views
1. Inasema misahafu (Luka 19:40): Yesu akawajibu, “Nawaambia, hawa wakinyamaza, mawe yatapiga kelele.” 2. Haya ni maneno yangu: 3. Kwamba huyu ni Myahudi na tena ni Mmarekani?! 5. Kumbe...
0 Reactions
2 Replies
14 Views
Miaka ya hivi karibu jamii ya Wakinga ni kama imeamua kuwa serious kupambana na umaskini. Those guys are true hustlers wenye umoja wa ndugu jamaa na marafiki. Unfortunately maneno yamenza mara...
16 Reactions
56 Replies
2K Views
Nimekaa nikifikiri Kwa muda sasa ni jinsi Gani mfanyabiashara mwenye mtaji wa 10 ml, alipaye Kodi ya pango ml 2, afanyaye biashara ya stationery, household goods, saluni nk nk awezaje kulipa Kodi...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Anajijua yeye ni mchepuko jana kanifumania na mwanamke mwengine akaniletea vurugu! Akaniita mimi mwanaume malaya haikutosha akaniita mimi "kenge maji!" kitu hichi kiliniuma sana nikamvuta...
15 Reactions
55 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,404
Posts
49,518,395
Members
667,103
Latest member
nicolaus9991
Back
Top Bottom