Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu...
2 Reactions
35 Replies
292 Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
78 Reactions
417 Replies
9K Views
Nipo Dar es Salaam, na kuna mvua + Mafuriko ila nafuatilia yanayoendelea uko China kwenye Beijing Auto Show ya mwaka 2024, ilioanza tar 25 April hadi 4 May. Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine...
27 Reactions
184 Replies
3K Views
Kama mbwai na iwe mbwai, watu wameruhusiwa kuhamia Marekani wanashindwa kuvumilia na kuanzisha choko choko zao kwenye nchi za watu, na bila aibu wanaandamana kuunga mkono magaidi wa HAMAS wenye...
2 Reactions
7 Replies
143 Views
Nimeingia Bariadi kuelekea kwenye utalii wa ndani Gambush. Katika pita pita nimekaa kijiwenii najadiliana na wazee kuhusu mkoa huu pendwa. Kwanza niwakumbushe kwamba huku ndipo wanapotoka akina...
0 Reactions
5 Replies
77 Views
Ni kipindi kirefu kimepita nikiwa nimekwama kuamua yupi ni mahiri zaidi kwenye uandishi wa nyimbo za dini kati ya Bahati Bukuku na Rose Mhando. Kwanza, Hawa wamama wana uwezo wa ajabu katika...
7 Reactions
36 Replies
794 Views
Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti. Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa. Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka...
27 Reactions
277 Replies
6K Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
24 Reactions
5K Replies
119K Views
Kati ya siku ambazo sitazisahau kwenye maisha yangu yote ni leo. Muda wa saa nne asubuhi nimeenda kutembelea biashara yangu moja mtaa fulani hapa hapa dar . Biashara ilipo lazima utumie bodaboda...
2 Reactions
5 Replies
117 Views
Wasalaam CHAMA kipo madarakani zaidi ya miaka 60 lakini, 1. Barabara mbovu 2. Maji Safi na salama ni shida 3. Elimu mbovu 4. Afya duni 5. Lishe duni 6. Viongozi kuishi kwa anasa 7. Umasikini...
1 Reactions
12 Replies
112 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,498
Posts
49,521,116
Members
667,131
Latest member
niite_carlos
Back
Top Bottom