Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa muziki wa bongo Diamond platinum anajua kucheza na mindset za watu ona sasa Sarah wa Kamwambie anavyotrend behind the scenes unaweza kuta ni tukio la kusadikika ila tayari watu washakuwa...
1 Reactions
19 Replies
333 Views
1.Sofa kali mpya=650,000(Haijatumika) 2.Home theatre LG=350,000 3.Meza ya jiko ya kupikia plate 2 =300000 (Haijatumika) 4.Coffee table=60000(Hijatumika) Sababu anahama kwenda mkoa mwingine. Vitu...
0 Reactions
4 Replies
88 Views
Kwenye Biblia kuna maandiko yanasimulia kisa cha watu wawili kuhusiana na utoaji wa sadaka Katika mafundisho hayo Bwana Yesu aliendelea kuwaambia wanafunzi wake kuwa unatopotoa sadaka yako...
4 Reactions
23 Replies
366 Views
Habari Wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwanachuo final year, nilipost nyuzi mbalimbali kuomba msaada juu ya ushauri wa kibiashara bila mafanikio wengine waliahid kunipa support lkn...
3 Reactions
4 Replies
92 Views
Wewe ni tajiri au masikini? Tuwekee picha tuone maana mmezidi kujitapa nyie matajri.
3 Reactions
21 Replies
210 Views
Eeh Mungu ikikupendeza, Mamelodi awe wamwisho, awe namba nne. Afungwe mechi zote. Amen
4 Reactions
25 Replies
707 Views
Uzuiaji wa makombora ya Iran 110 yaliyofanywa na Israel majuzi imeishtua dunia nzima. Hata hivyo kwa India tukio hili lina umuhimu wa kipekee kabisa kwa kuzingatia ushirikiano kati ya Israel na...
7 Reactions
22 Replies
520 Views
Kama ofisini kwako kuna kiongozi anaanza kazi muda ambao ninyi mnatoka ofisini lazima atakuwa na sifa zifuatazo 1. Ni mzizi na hivyo usubiri watumishi watoke ndipo afanye uzinzi aidha na...
1 Reactions
11 Replies
337 Views
Unapopanda gari la umma kama kiongozi mwenye dhamana jiandae kisaikologia pia kushuka na kuwa RAIA wa kawaida. Tunategemea kupata mabadiliko makubwa katika nyanja ya kisiasa kuanza mwezi Mei,2024...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, Nchini Tanzania, na Afrika kwa ujumla kumekuwa na dhana potofu ya kufikiri kwamba kila mtu mkubwa (kimamlaka) anapokuwa amekufa, basi anakuwa ameuwawa aidha na baadhi...
5 Reactions
28 Replies
463 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,315
Posts
49,515,331
Members
667,058
Latest member
latifeh6243
Back
Top Bottom