Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Muuza madafu amehojiwa na Ayo Tv na kusema yeye Siyo yule Komandoo ila ni Kweli wanafanana Muuza madafu amesema yeye anacheza kareti na boxing na anatamani sana kujiunga na mambo ya Ulinzi kama...
7 Reactions
18 Replies
459 Views
Hoja zimeenea leo kuhusu Benchika kutotakiwa, mimi pia naunga mkono kabisa kabisa, Benchika hana uwezo wa kuivusha Simba, Benchika amesababisha mwarabu Al Ahly avunje mwiko kwa mkapa, Benchika...
2 Reactions
17 Replies
438 Views
Uchambuzi wangu Kombe la muungano ni kombe la bonanza linalohusisha timu mabingwa wa TZ bara na visiwani ( Zanzibar) so kitendo Cha mnyama kuchukua ubingwa huu Ina maanisha Simba ndiye mwamba wa...
1 Reactions
3 Replies
52 Views
Habari wadau? Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika...
6 Reactions
55 Replies
922 Views
Mtu mmoja aliniuliza kwa nini mara kadhaa umekuwa ukiwasema wanawake wanapoonesha udhaifu. nlimjibu ni sababu napenda sana wanawake kuliko kitu kingine chochote. katika maisha ya sasa vijana...
77 Reactions
163 Replies
25K Views
Ni Joe Kusaga tena… Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa. Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya...
11 Reactions
84 Replies
816 Views
  • Poll
Jf amani iwe nanyi. Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oct 2030, 77% ya wapigakura wote watakuwa ni Vijana wa 2000s` Mrithi sahihi wa Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya CCM lazima awe ni mgombea...
7 Reactions
307 Replies
7K Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
57 Reactions
175 Replies
5K Views
Breaking: Benchika ameachana rasmi na Simba SC baada ya makubaliano ya pande zote mbili. Credit by crown media #CrownSports
8 Reactions
46 Replies
959 Views
Simba wamewakatia denge Yanga, wao ss hv ni mabingwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaani Simba ni bingwa nchi hii. Sijui kama nimeekeweka, simba ni bingwa wa hapa bara na kule visiwani.
3 Reactions
13 Replies
180 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,226
Posts
49,512,388
Members
667,023
Latest member
Safisha99
Back
Top Bottom