Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimeshangazwa kuona Yanga sc inaingia na mkataba na kampuni inayofahamika kinondoni ilala na temeke tu na bidhaa zake inauzia palepale Daresalaam tu tena kuna baadhi ya maeneo ya Daresalaam...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Unaweza kutunza siri kw miaka mingi sana lakini ipo siku utaropoka tu hata chooni au mahala popote. Siri duniani haipo. Zitto hatimaye kafichua siri kuwa alikuwa akitumwa na jk kuiua chadema na...
1 Reactions
2 Replies
5 Views
Ndugu Viongozi wetu Imefika wakati sasa Tanzania tunahitaji sheria ya Msamaria mwema au kwa kiingereza Good Samaritan Law. Sheria hii itawezesha kuokoa maisha ya watu wengi waliojeruhiwa, hasa na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimekuwa katika mapenzi kwa miaka mingi ila ikafika hatua nikaamua kuachana nayo baada ya kujikuta naumia zaidi ya kufurahia. Nikajikita kwenye utafutaji wa pesa tu lakini kutokana na hali ya...
1 Reactions
12 Replies
262 Views
Nipo Dar es Salaam, na kuna mvua + Mafuriko ila nafuatilia yanayoendelea uko China kwenye Beijing Auto Show ya mwaka 2024, ilioanza tar 25 April hadi 4 May. Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine...
16 Reactions
97 Replies
1K Views
Tunaposema huu MUUNGANO ni wa hovyo ni pamoja na KUIUA NCHI ya TANGANYIKA Nchi ambayo tulipewa na MWENYEZI MUNGU Nchi ambayo kila RASLIMALI tulipewa na Laana ya kuiua ndio huo UMASIKINI wa Watu...
1 Reactions
3 Replies
102 Views
Kuna biashara kubwa sana (inayohusisha mabilioni ya fedha) baina ya nchi yetu na China, India, Uturuki, Afrika Kusini n.k. Taifa letu bado ni tegemezi katika kuagiza vitu, vifaa, chakula, nguo na...
2 Reactions
5 Replies
180 Views
Wakuu habari za weekend Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye...
3 Reactions
94 Replies
585 Views
Ni Joe Kusaga tena… Waswahili husema mwenye nacho huongezewa, sio sahihi. Mwenye nacho hujiongeza ndipo huongezewa. Mfanyabiashara na mwekezaji mkubwa nchini aliyejikitika zaidi kwenye tasnia ya...
9 Reactions
68 Replies
595 Views
Mimi sio mchoyo nawasanua vijana. Haijarishi unaanzisha genge, duka la mangi, banda la chipsi, kuuza mitumba, hata iwe kuuza pipi n.k hakikisha unatafuta kwanza kinasa wateja . Mambo ya customer...
3 Reactions
37 Replies
664 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,214
Posts
49,511,887
Members
667,002
Latest member
JustinDrude
Back
Top Bottom