Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba ukweli tu ndio usemwe nani mwenye uwezo wa kimedani Kati ya mahasimu hawa wawili kati ya muyahudi na waajemi. Kuna watu wanapenda mambo ya medani japo vita ni kuzimu(hell) ila ni hulka ya...
6 Reactions
139 Replies
3K Views
Wataalam wa tech naomba elimu yenu kuhusu maeneo hayo Apps na Websites. Ukitaka kutengeneza apps unapaswa kupitia hatua zipi au kozi gani fupi? Hivyo hivyo kwa website unapaswa kupitia hatua...
0 Reactions
4 Replies
27 Views
  • Article
Leo nimeona video ambao imewekewa sauti ya mtu akisema wametumiwa video hiyo kwenye group la shule ya Themihill, video hiyo inaonesha mtu akifungua kitu kinachoonekana kama pen (kalamu) ambacho...
5 Reactions
70 Replies
2K Views
D knob Mike T Nikki Mbishi Nikki wa pili Joh Main I Lord Eyes Stamina Darasa Baghdad Godzilla Chege chigunda Madonjo Domokaya Dol sound(balozi) Jini kabula Pasha
0 Reactions
27 Replies
11K Views
Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea. Nani anayefuatia kushika kiti chake kwa mujibu wa itifaki ya ufalme wa Uiengereza. King Charles’ health ‘not good,’ funeral planning underway: Report
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Watanzania tumekuwa na tabia ya kuchukulia mambo juu juu na kuhamaki kabla ya kuyaangalia Kwa undani na kutokana na kutokuaminiana kwenye masuala ya fedha kila kitu tunakihusisha na upigaji...
1 Reactions
8 Replies
69 Views
Bodi, Hiki kizazi chetu cha kiume kwa sasa kina shida sana. Why? 1. Kizazi kivivu kinachoamini katika mserereko kuliko kufanya kazi na mazoezi 2. Kizazi hiki kinaweza kuwa ndio kizazi...
0 Reactions
8 Replies
9 Views
Droo ya robo fainali ilipotoka nilishangaa watu kuwaogopesha yanga kuwa mamelodi watawafunga na kuwapongeza Simba kuwa wamepangwa na vibonde. Ashakhum si matusi, mashabiki wabongo pamoja na...
3 Reactions
16 Replies
129 Views
Members habari naweza kutajirika kupitia ufugaji na kitu gani Cha kufuga kitakachonitoa haraka
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa. Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki. Wapo...
42 Reactions
398 Replies
17K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,967
Posts
49,502,223
Members
666,900
Latest member
Unyade wade
Back
Top Bottom