Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu. Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake...
8 Reactions
36 Replies
386 Views
Katika historia, watawala walitumia mbinu kali za adhabu kwa lengo la kuadhibu maadui zao pamoja na wale walio tekeleza matukio ya kihalifu. Pia walitumia mbinu hizo kama njia ya kuwafanya...
0 Reactions
2 Replies
29 Views
Chadema na uongozi wenu jengeni chama mstumie muda mwingi kurumbana muda ni mdogo whoever atagombea urais ataliwa kichwa bora mkagombee kwenye majimbo tupate wabunge wa kujenga hoja. Hakuna wa...
0 Reactions
3 Replies
21 Views
<Marquee> kichwa Cha habari kinajieleza</Marquee>
0 Reactions
18 Replies
159 Views
Mzuka wanajamvi! Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain. Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa...
10 Reactions
123 Replies
2K Views
Hadi Sasa plate number zinasoma EH... ikiwa ni miezi 6 tu toka herufi E kuzinduliwa. Inasemekana Kila herufi ndani ya herufi kuu Inabeba magari 1000. Hivyo toka Herufi E Imeanza tumeagiza magari...
0 Reactions
5 Replies
25 Views
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewataka watoa huduma za usafirishaji abiria kupitia njia mpya na ya dharura kwa safari za kati ya mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara wasiwatoze...
3 Reactions
8 Replies
239 Views
Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa. Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA. Hongereni Sana Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na...
15 Reactions
166 Replies
2K Views
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree" Source: EATV CCM kuna...
6 Reactions
27 Replies
317 Views
Historia mwalimu mzuri, baada ya Lissu kushambuliwa kwa risasi, kiongozi mkuu wa kitaifa aliyeenda kumpa pole ni mzanzibari, leo anatembea huku na kule akimtukana. Tundu Lissu alimkimbia...
3 Reactions
24 Replies
404 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,244
Posts
49,597,986
Back
Top Bottom