Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha...
8 Reactions
55 Replies
922 Views
1. Vita Gaza vinapaswa kukoma. "Enough is enough!" 2. Hilo ni lililotakwa la dunia, kutokea UN huko; mataifa: moja moja; mashirika ya kimataifa, mashirika ya misaada ya kiutu, nk. 3. Kuna azimio...
1 Reactions
20 Replies
207 Views
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana. Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege...
28 Reactions
119 Replies
3K Views
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu. 1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara...
5 Reactions
27 Replies
261 Views
Wadau kuna tetesi nimezisikia kuwa Mh James Mbatia aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi kambwaga Mh Joseph Selasini Mahakamani ktk Kesi aliyofungua Mh James Mbatia ya Kumdhalilisha.Katika Kesi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
Chekechea na Primary nimesoma english medium private. Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana. Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba...
7 Reactions
47 Replies
721 Views
Sidhani kama ni mimi tu ambaye nakerwa na haya makelele yaliyopo kila kona ya mji, sawa ni kutangaza biashara lakini ni vyema kubuni njia sahihi ya kufikisha ujumbe. Imefika pahala kila kona...
2 Reactions
6 Replies
7 Views
Kuna sehemu nimesoma, mwanasheria mmoja kutoka kwa Majirani zetu, Kenya, Anasema kwamba, kwa mujibu wa sheria, kama ulimuoa single mother, ukaanza kuishi naye na ukaanza kum-support yeye na...
3 Reactions
8 Replies
128 Views
Nakumbuka kipindi Cha nyuma kulikuwa na hii bidhaa ya ivory tomato. Siku hizi haionekani kabisa?? je wakuu wali iondoa sokoni, au Kuna sehemu Hawa isambazi?!. Hii ilikuwa nzuri zaidi ya Ile red...
2 Reactions
16 Replies
210 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,632
Posts
49,580,237
Members
668,073
Latest member
Bruno Nemes
Back
Top Bottom