Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
3 Reactions
16 Replies
284 Views
kumekua na kasumba ya wasanii wetu tunao waita KIOO CHA JAMII kujirekodi kipindi wakiwa falagha (UTUPU WA MNYAMA) bila ya kujali jamii inawatazama vipi na bila kujali kuwa jamiii ina watoto...
1 Reactions
8 Replies
90 Views
Kwanini watumiaji wengi wa kinywaji cha eneji ni madereva wa vyombo vya moto?
0 Reactions
3 Replies
27 Views
Sisi watumishi akili zetu zimekubali kuongozwa na maandiko. Maandiko katika kutoka 21:10 inatoa list ya mahitaji ya muhimu kwa mke au mwanamke. 1: Chakula. 2: Mavazi. 3: Ngono. Kabla...
14 Reactions
47 Replies
860 Views
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu Shemsa Seif Mohammed amemshukia Mbunge wa Jimbo la Kisesa Luhaga Joelson Mpina kuacha siasa za Majitaka na badala yake ajikite kuwatetea...
0 Reactions
6 Replies
450 Views
Maana feedback za wanaotafuta mchumba, mke au mume ni chache na nadra mno ukilinganisha na request za waungwana wengi sana kutafuta wenza humu ndani. Mathalani utakuta mtu kapost mke anatafutwa...
9 Reactions
159 Replies
1K Views
Habari za uhakika ni kwamba yule Kocha aliyefeli vibaya simba kuliko makocha wote ameomba kuondoka simba ifikapo mwisho wa msimu. Sababu ni kwamba Kolozidad hawampi thamani pia haoni mipango...
3 Reactions
12 Replies
90 Views
Tarehe 10/04/2024 nilikutana kimwili na mpenzi wangu ambae sikuwa nae kwa muda nilikuwa safarini. Nilipokutana nae sikutumia kinga kwan ni muda mrefu sana nilipima nae na tulikuwa negative...
7 Reactions
72 Replies
2K Views
Wakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hiv ni haki kulala na wazaz..mama yake anangangana kua ni kawaida. Ana chumba chake kizur na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama. Mnaonaje wakuu hil...
1 Reactions
5 Replies
19 Views
Miaka hiyo sina hela afu ujana mwingi......kidogo nipagawe. Nikamcheki braza yangu MUBA MUBANDA....mzee wa kazi zote pale kariakoo. MIMI: Kaka mdogo wako sina kitu afu unavyojua lazima avensis...
47 Reactions
437 Replies
67K Views

FORUM STATS

Threads
1,848,807
Posts
49,495,816
Members
666,842
Latest member
elly sijo
Back
Top Bottom