Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
0 Reactions
4 Replies
5 Views
Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
1 Reactions
31 Replies
411 Views
Habari ya wakati huu wakuu. Nimerudi tena ili tuweze kukumbushana baadhi ya mambo ambayo ni muhimu katika uendeshaji wa kampuni zetu Kufikia leo tarehe 4 mei tumebakiwa na takribani siku 57...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May...
6 Reactions
49 Replies
787 Views
Mzuka wanajamvi! Matumaini yangu muwazima na buheri wa afya. Kwa upande wangu really I cant complain. Moja kwa moja kwenye mada. Kuna majina mengi ya vitu tofauti wengi hatufahamu kwa...
6 Reactions
85 Replies
1K Views
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za Mei mosi eti kwa sababu kikokotoo ni mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote. CCM katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa...
12 Reactions
104 Replies
2K Views
Position: Creative Visual Artist Purpose: Is to conceptualize and produce visual content that communicates ideas, messages, and narratives effectively through various artistic mediums. Main...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mmepita huku insta mkaona harambee ya watoto wa mjini?? Wanachangisha michango Ili kuleta mwili wa dada mmoja aliefikia uturuki katika harakati za surgery ya kuweka makalio, kwahyo inasemakana...
4 Reactions
95 Replies
2K Views
Vigogo wa Klabu ya simba wameweka jina la Florent Ibenge kama mrithi sahihi wa kocha aliye ondoka ndani ya timu Yao Abdelhak Benchika. Ibenge mshindi wa CAF Confederation Cup na mwana fainali ya...
1 Reactions
23 Replies
807 Views
Kawaida ya Waajiriwa wengi, kuweka Akiba, Saving account kwenye benki zetu, kwaajili ya usalama. Account hizo kuna ledger fee unalipa, huingizi chochote. Nikushauri, wekeza kwenye masoko ya Hisa...
9 Reactions
33 Replies
567 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,184
Posts
49,566,908
Members
667,816
Latest member
mambatz
Back
Top Bottom