Moja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako
Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza
Je umesev vipi jina la kipenzi chako...
Ndugu zangu Watanzania,
Nauliza kwa uchungu mkubwa sana kuwa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ipo wapi? Inafanya kazi gani? Imelala wapi huko usingizi wa pono mpaka inashindwa kuona hatari...
Kuelekea siku ya wafanyakazi nchini Mei mosi, vijana ambao wanahitimu elimu ya vyuo vikuu tunaomba Serikali yetu chini ya Rais wetu mpendwa Mama Samia na timu yake yote tunamuomba jambo moja nalo...
Rumor has it mzee wa hulisi kamtwanga dada wa bango la valentine talaka moja na mke wa pili juu......
Tatizo sio kuachika, tatizo ni kujishaua sana my husband this my husband that, vikiumana...
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
mtaani, ofisini na kwenye mishemishe watu wanakuheshimu kama baba Paroko ..
Ila moyoni unasema laiti wangejua !
Wasingenipa hata hizo heshima (simaanishi wakudharau)
Ila unajikuta watu...
Tuna sababu zote za kumsemea Rais Samia kwasababu kazi zake zinaonekana ametugusa kila nyanja, Rais ambaye mpaka sasa hajakosea chochote, kwa lugha ya vijana tunasema mama haya baya.
Tukatae watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.