Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

A
Anonymous (7cb5)
Mwalimu MWALUKASA wa Shule ya Sekondari JM KIKWETE, Halmshauri ya Mji Tunduma Mkoani Songwe anayefanyabiashara ya kuuza karanga shuleni analalamikiwa na Wanafunzi kuwalazimisha kununua karanga na...
11 Reactions
63 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimeangalia video inayomuonesha Mheshimiwa Shukuru Kawambwa waziri wa zamani na mstaafu katika serikali ya awamu ya nne chini ya uongozi wa Rais Mstaafu Mheshimiwa Daktari...
11 Reactions
72 Replies
2K Views
✨ Your Trading Journey Begins Here ✨ Are you ready to dive into the world of Forex and come out a trading champ? 🏆 BIG BOYS CLUB INVESTMENTS is offering a FREE Forex course that you can't afford...
1 Reactions
16 Replies
120 Views
Nipo Dar es Salaam, na kuna mvua + Mafuriko ila nafuatilia yanayoendelea uko China kwenye Beijing Auto Show ya mwaka 2024, ilioanza tar 25 April hadi 4 May. Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine...
10 Reactions
42 Replies
480 Views
Naomba ukweli tu ndio usemwe nani mwenye uwezo wa kimedani Kati ya mahasimu hawa wawili kati ya muyahudi na waajemi. Kuna watu wanapenda mambo ya medani japo vita ni kuzimu(hell) ila ni hulka ya...
7 Reactions
160 Replies
3K Views
Wakuu mko poa lakini, Turuke moja kwa moja kwenye mada Ebanaee huyu manzi wa kuitwa Angel nimefahamiana nae miezi 5 kabla, kama zari tulianza kuwa kama marafiki tu wa kawaida. Taratibu tukaanza...
6 Reactions
38 Replies
941 Views
Yamenikuta najuta kuwa na kibanda, wiki iliyopita mvua ilinyesha usiku na kubomoa choo cha nyumba yangu cha mtindo wa pasipoti sasa hivi, asubuhi kulipokucha nikaenda kununua simenti na matofali...
5 Reactions
24 Replies
844 Views
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona. Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili...
2 Reactions
36 Replies
526 Views
Na nakuomba kabla ya Kuja Kuhara hapa kwa huu Ukweli niliousema tuliza Akili zako zote na zilinganishe Picha zao sawa? Nimemaliza.
0 Reactions
3 Replies
91 Views
1. Hawa ndiyo wale vigogo wachache wa aina ya South Africa huko: 2. Kwamba Natenyahu ni kama yale mapanya road yale ya pande za kwetu tu? 3. Ana sifa gani, wapi, kiumbe huyu kwenye ulimwengu...
3 Reactions
10 Replies
191 Views

FORUM STATS

Threads
1,848,986
Posts
49,503,129
Members
666,914
Latest member
pali akili
Back
Top Bottom