Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari nauza kiwanja changu kipo Zanzibar Kiwengwa, kina ukubwa 33*30 kutoka kwenye kiwanja hadi beach ni dakika 5 kwa kutembea. Kiwanja kinafaa kwa makazi binafsi lakini pia kwa biashara Nauza...
2 Reactions
12 Replies
770 Views
TV ziko poa kabisa na ni mpya zilikuwa sampo dukani bei yake ni Tsh170,000/= mikoani pia tunatuma ila gharama ni za kwako mwenyewe, tunapatikana Kariakoo mtaa wa Msimbazi karibia na jengo la...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Shalom....! Najua JF imebeba Watu aina tofauti na Malengo tofauti wenye Imani tofauti...! Ninahitaji kuwasiliana Nabii yoyote ambaye Mungu anamtumia, awe na Kanisa ama hana ni sawa...! Kuna...
1 Reactions
8 Replies
617 Views
INAPANGISHWA CHIDACHI-DODOMA ________ MAHALI-CHIDACHI DODOMA (INATAZAMA BARABARA YA LAMI) ________ MUUNDO (ZIKO 02 KWENYE FENSI,KILA MOJA NA GETI LAKE) -VYUMBA 02 VIKUBWA(01 masta) -SEBULE...
4 Reactions
7 Replies
793 Views
Hostel ya vyumba 12 ndani ya kiwanja cha sqm 412 inauzwa million 60 hostel ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi tanga โ€ฆ mwenye uhitaji anicheki namba za simu 0612630936
0 Reactions
4 Replies
860 Views
Natanguliza salam kwenu Wana jukwaa. Kama kichwa kinavyojieleza, nitakua na KAZI ya mwezi mzima hapa Dar es Salaam natafuta Furnished 1 bed room. Natafuta budget yangu ni 450k. Kama kuna MTU...
1 Reactions
5 Replies
685 Views
NAUZA PLOT, KIBAHA MADAFU/ZEGELENI. KM 5 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD. Huduma za jamii zimefika... Maji,umeme, hospital, Total area ni 1400sq meters. Ina hati miliki Vimepakana na Kiwanda...
0 Reactions
3 Replies
542 Views
Mashine ya kumenya viazi na mihogo, imara na yenye ifanisi wa hali ya juu sana. Bei ya kutupa,mwenye kujua thamani yake haulizi mara 2. Nawakaribisha tufanye biashara. Bei 900K. Nipigie 0625697394
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Viatu ni vizuri na imara sana. Bei: 12,000 tu Napatikana Dsm Segerea mwisho. Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako. Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
1 Reactions
3 Replies
965 Views
Jamani Mgosi nawaletea dili hili, kama una shida ya pesa ya fasta bila kupoteza. TV INCH32, Kampuni PineTech Flat screen ya kawaida pesa -100k cash
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Namtafuta shamba la kununua morogoro
1 Reactions
10 Replies
856 Views
Toyota Harrier hybrid new model (eah) Year 2015 Cc 1980 Mileage-77800km Winker mirror Fog light Push to start Location-Dodoma Bei-55m
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarini, Kuna bidhaa ambayo inaitwa TOMATO PASTE hizi ni nyanya zilizochakatwa kiwandani na hutumika kama mbadala wa nyanya halisi. Kuna wakati hapa nchini kunakuwa na shida ya nyanya halisi...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Ninauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 Individual. Bei milioni mbili laki moja tu. Imekimbia kilometa 601,bado mpya, ni pikipiki nzuri kwa matumizi ya usafiri binafsi zaidi. Ipo Kigamboni na kadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kumiliki gari na mm.hv sasa Nina guta ila nimeona Kaz zangu inahitaji pro box Naombeni Kam Kuna . member anato aniuuzie Bajeti yangu Ni 4m , Nataka niuuzr guta nimiliki pro box Faida...
1 Reactions
0 Replies
541 Views
itakayo weza kukupa uhakika wa matumizi ya simu yako Vaa mkanda twende pamoja ๐Ÿ”‹๐Ÿ’ก Chaji Bila Wasiwasi na Green Lion 22.5W Power Bank ๐Ÿ’ก๐Ÿ”‹ Karibu kwenye thread yetu kuhusu power bank ya Green Lion...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Furniture za Bei nzuri hizi hapa
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Ndugu zangu , siku ya leo nawaletea SONY PS4 PADS Full ku enjoy Hii inaenda kwa 70,000/= tuuuuu Karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa aggrey/ndanda Tupigie au wasap - 0659588492 Maongezi yapo ...
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Onsat on 3 ni moja Kati ya ving'amuzi visivyo vya kulipia kwa mwezi yaani Frre To Air Receiver ambayo itakuwezesha kutazama chaneli nyingi bila malipo yoyote kwa mwenzio unachotakiwa kujua Ni kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
๐˜’๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜œ๐˜ฏ๐˜ข๐˜ต๐˜ฉ๐˜ข๐˜ฎ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ช ๐˜“๐˜ข๐˜ฑ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ/๐˜‹๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ ๐˜บ๐˜ข๐˜ฌ๐˜ฐ ๐˜œ๐˜ด๐˜ช๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ญ๐˜ช ๐˜๐˜ช๐˜ช ๐˜๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฑ๐˜ช๐˜ต๐˜ฆ.....! ๐—›๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ ๐—ก๐—ฑ๐˜‚๐—ด๐˜‚.... ๐˜๐˜ข๐˜ต๐˜ข ๐˜’๐˜ข๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ธ๐˜ข ๐˜œ๐˜ฌ๐˜ช๐˜ต๐˜ข๐˜ง๐˜ถ๐˜ต๐˜ข ๐˜๐˜ช๐˜ง๐˜ข๐˜ข ๐˜ท๐˜บ๐˜ข ๐˜“๐˜ข๐˜ฑ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ/ ๐˜‹๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฌ๐˜ต๐˜ฐ๐˜ฑ ๐˜ฌ๐˜ธ๐˜ข ๐˜’๐˜ช๐˜ฑ๐˜ช๐˜ฏ๐˜ฅ๐˜ช ๐˜ค๐˜ฉ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜บ๐˜ถ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ช๐˜ญ๐˜ข ๐˜”๐˜ข๐˜ง๐˜ข๐˜ฏ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ช๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ฆ๐˜ฐ ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฏ๐˜ข ๐˜š๐˜ถ๐˜ญ๐˜ถ๐˜ฉ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ฐ ๐˜ญ๐˜ข...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ