Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bei 1,180,000/= mashine ni mpya Mashine ya kukamua juisi ya miwa (Ya umeme) 🔴Ina uzito 65kg 🔴Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani 220V, motor 0.75KW 🔴ukubwa wake 430*350*920mm 🔴material yake ni...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
*Natengeneza na Ku-repare mashine au mitambo mbalimbali iliyokufa saketi zake za kielectronics na hivyo kushindwa kufanya kazi. *Nahusika na mifumo ya kielectrical na Electronics tu,sihusiki na...
3 Reactions
4 Replies
341 Views
Inakuwaje kijana unapambana Kwa Hali na Mali kiakili na kimwili Ila mafanikio yanakuwa bado shida? MTU huywi pombe na wala hutumii kilevi chochote Sio MTU wa wanawake uko na mahusiano yako...
13 Reactions
43 Replies
2K Views
Karibuni mashamba bei sawa na bure. Mashamba yapo dakk 30 kutoka kisarawe mjini. Maongezi yapo kdogo. Namba 0627757086
6 Reactions
28 Replies
4K Views
Salamu.Nimezipenda hizi Tv za mimi kipato Cha kati,Remote za Tv ya Hisence zipo makini sana. Sauti ya Tv zao ni kubwa na audio jack nzuri sana.
7 Reactions
77 Replies
5K Views
Kutokana na kuongezeka kwa makazi ya watu huku ukubwa wa transformer za Tanesco zikibaki zilezile,kumepelekea maeneo mengi ambayo miji yake inakuwa kukabiliwa na tatizo la umeme mdogo hasa...
1 Reactions
28 Replies
9K Views
NIC Life House, 2nd Floor, Wing C, Website:www.archco.co.tz P.O. Box 38694, Dar es Salaam, Tanzania Email.info@archo.co.tz Tel:+255 22 211 844 Date: 27th February,2024 YAH: MASHAMBA YA KILIMO...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari, Kwa niaba ya ndugu yangu, wanauza eneo la shamba kubwa kwa uwekezaji wa kilimo. 1) Wapi? Ngalanga, njombe vijijini 2) Ukubwa? Ekari 100+ 3) Umbali toka barabara kuu: 5km 4) Hali yake...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, hamjambo natafuta maduka ya vifaa vya solar Dar es Salaam ,kwani natafuta bulbs za solar za trade,na photocell ya dc yaani ya solar. Iwapo kuna mdau humu anaweza kunisaidia kupata hizo...
2 Reactions
4 Replies
496 Views
Agiza nasi Nissan X-Trail New Model 🔸Year 2014 🔸CC 1990 🔸Engine MR20 🔸Blue Color 🔸4 Wheel Drive 🔸Seating Capacity 5 🔹Steering Options 🔹DVD Radio 🔹Navigation system 🔹Back Camera 🔹Winker mirror...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF , ni wapi kuna maduka hapa DSM wanauza vitanda special na magodoro yake . Achana na wale marafiki zetu wa mitaaani wanao chonga vitanda unamfuata leo anakwambia hajamaliza kutengeneza
2 Reactions
4 Replies
480 Views
NB-PICHA SINA ILA NINA VIDEO ZAKE NITEXT WHATSAP NIKUTUMIE NYUMBA NZURI SANA INAUZWA -IMESHUKA BEI ______ MAHALI-IYUMBU (MORO-DAR ROAD) -JIRANI NA SHULE YA MFANO ______ UMBALI TOKA BARABARA YA...
0 Reactions
9 Replies
671 Views
Maelezo ya Nyumba: Nyumba kubwa sana na ina sehemu ya parking kubwa sana. Nyumba ipo mbweni JKT. Nyumba na eneo la wazi ukubwa wa SQM 2201. Nyumba ina mortgage Mwanga Bank kiasi cha MiL 300 so...
2 Reactions
5 Replies
480 Views
Mimi ni kijana wa miaka 22,napenda UANDISHI na ni mwandishi wa riwaya na hadithi fupi za kimagharibi(Western) yaani world wide mfano Nina story inayoitwa THE OLYMPUS, setting yake ni BEFORE CHRIST...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Habari wana JF Natafuta msichana kijana mwimbaji mwenye mwonekano wa pop anayejua kuimba kwa Kiingereza katika maeneo ya sinza. awe age kati ya 18 - 21. Kuna nyimbo za kingereza ambazo atakuwa...
1 Reactions
7 Replies
574 Views
We are providing best ICT services
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4 Bei:7500 Location Sae Mbeya, 0676692082 SIFA Wana stahimili magonjwa Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea...
1 Reactions
3 Replies
322 Views
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4 Bei:7500 Location Sae Mbeya, 0676692082 SIFA Wana stahimili magonjwa Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa...
0 Reactions
0 Replies
282 Views
Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami...
1 Reactions
7 Replies
733 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…