Habari wadau.!
Mimi ni mnywaji wa pombe aina zote kuanzia laini sana kama castle lite,redds mpaka zile kali sana kama grants,konyagi yaani sprits,vodka,whisky lakini nakunywa sana chai,
Siku...
Apcs kwa kushirikiana na amref kwa ufadhili wa sida kwa kupitia mradi wa tuitee tunatoa huduma za counselling kwa watu wote hasa vijana miaka 10 mpaka 24
1.tunafanya counselling kwa mtu mmoja...
MADHARA YA KIAFYA YASABABISHWAYO NA KUFANYA NGONO KINYUME NA MAUMBILE
Ngono kinyume na maumbile au wengine husema Ngono kwa nyia ya haja kubwa, ni hali ya kingono ambayo muhusika huingiza uume...
Habar ndugu wanabodi.
Tatizo hili sijui ni mimi tu au na wengine ni kwamba mtu yoyote akifanya kosa au kitu cha aibu ninakua ninaona aibu mimi badala ya yule aliyefanya aone mwenyewe"" Sijui ni...
COCOLLAGEN --For a Beautiful Skin-A CHOCOLATE FLAVORED BEVERAGE ENRICHED WITH HIGH GRADE QUALITY MARINE COLLAGEN
It provides elasticity and shape, giving skin its firmness as well as the ability...
wanaJF naombeni msaada wenu. Mimi nasumbuliwa na kucha ya kidole gumba cha mguu,hyo kucha inaotea kuelekea pembezoni mwa nyama ya kidole na inaleta maumivu makali sana tafadhali nisaidieni
habari zenu jaman jana nliweka thread inayohusu maumivu ya titi la kulia so wadau wamenishauri niende nkachek ocean road km itakua cancer au la. me niko mkoani kwa yeyote anayejua gharama za...
This is obviously for the ladies only...
Check out this amazing all-natural pregnancy
breakthrough that permanently eliminates
infertility issues without drugs or surgery.
Stop wasting money on...
Wataalam,
MTOTO WANGU ANA UMRI WA MWAKA MMOJA NA MIEZI MITATU, MKE WANGU ANA UJAUZITO WA MWEZI MMOJA.
Je, kuna madhara yeyote ambayo mtoto anaweza kuyapata akinyonya katika kipindi hiki cha...
Ni nini husababisha kitovu kuwasha kwa ndani?
Hakitoi uchafu/hakina uchafu wala sioni chochote,nikiingiza kidole nafanya kukizungusha tu vinapoa maana naogopa kukuna vinauma,hakiwashi muda wote...
Kwa anayehitaji msaada wa dawa ya kiasili itakayomfanya mwanaume achelewe kukojoa ktk tendo la ndoa,mimi ninayo dawa ya kiasili toka kongo iliyo ktk mfumo wa ungaunga itakayoondoa tatizo hilo mara...
Cure for baldness hopes raised as scientists create new hair follicles from human skin cells
British and American researchers plan clinical trials after creating new hair follicles from human...
naomba kujuzwa,nimeoa na mke wangu ni mjamzito miez 7,je kuna athar yoyote atakayoipata mtoto pind ntakapofanya mapenz na mke wangu??je mimba ikifka umri gan tunatakiwa tusitishe tendodo la ndoa...
Mi msichana miaka 25 nasumbuliwa na maumivu kwenye titi la kulia linauma nikilibonyeza upande wa kulia na nikilalia nahic ugumu flani hiv wa chuchu tofauti na jingine laweza kua tatizo gani mana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.