Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,238
- 1,654
Mkuu hivi upo? Hili liulizie kwa Wazanzibari utapata jibu.Nawaomba wazanzibar wenye nia ya kupigania uhuru wa Zanzibar kupeleka mashtaka Umoja wa Mataifa kama ikishindikana litumwe jeshi la ukombozi kutoka UN kuja kuikomboa Zanzibar kutoka kwenye makucha ya Tanganyika.