Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wakuu, mida hii hii nimekutana na mbatia na msafara wake eti anatoka kurudisha form - vibajaji na bodaboda kibao kutujazia foleni. hivi anategemea kweli anaweza kuwa rais wa nchi hii au anataka aingie kwenye vitabu vya kumbukumbu? - nafikiri wanasiasa wengi hawakusoma probabilty na permutation.
Kwani huyu jamaa anagombea uraisi?Wakuu, mida hii hii nimekutana na mbatia na msafara wake eti anatoka kurudisha form - vibajaji na bodaboda kibao kutujazia foleni. hivi anategemea kweli anaweza kuwa rais wa nchi hii au anataka aingie kwenye vitabu vya kumbukumbu? - nafikiri wanasiasa wengi hawakusoma probabilty na permutation.
usiwaulize nyani wanafanya nini kwenye shamba la mahindiTatizo ni nini maana hata yangu ya "CCM INATEGEMEA NINI KUSHINDA" SIONI
zomea zomea!!!!!! sijakuelewa mkuu. hata hilo bango halionyeshi zomea zomea!!! au kuna facts nyingine kama ni hilo bango ndio limekusababisha useme zomea zomea unanipa maswali mengi sana!!!!!! acheni kampen chafu JF nimeona anasema silaha ana kimada so what???? jamani umakini unatakiwa katika kuleta hoja humu. Zomeazomea nilitarajia kuona kundi la watu wakionekana wanazomea au wana mabango yanayoomyesha uzomezi...au taarifa inayosema kuwa mkuu kapita mahali fulani kazomewa na ushahidi wa picha....acheni majungu ccm na chadema hamtashinda kwa kuhunisha kampeni.
mix with yours
wewe ndio hazim..............kweli, unafikiri kuzomea hadi uone kundi la watu LOL! nadhani wewe ni great sinker siyo thinker kama unasubiri usikie sauti subiri.zomea zomea!!!!!! sijakuelewa mkuu. hata hilo bango halionyeshi zomea zomea!!! au kuna facts nyingine kama ni hilo bango ndio limekusababisha useme zomea zomea unanipa maswali mengi sana!!!!!! acheni kampen chafu JF nimeona anasema silaha ana kimada so what???? jamani umakini unatakiwa katika kuleta hoja humu. Zomeazomea nilitarajia kuona kundi la watu wakionekana wanazomea au wana mabango yanayoomyesha uzomezi...au taarifa inayosema kuwa mkuu kapita mahali fulani kazomewa na ushahidi wa picha....acheni majungu ccm na chadema hamtashinda kwa kuhunisha kampeni.
mix with yours
kwani hapo unaona watu wangapi? ungeyaandika hayo kama picha ingekuonesha mtu mmoja, hata hivyo huyo huyo anaweza akazomea pia hivyo neno zomea zomea litabaki kama lilivyo, hata unaposikia neno maandamano si lazima liwe kundi kubwa,zomea zomea!!!!!! sijakuelewa mkuu. hata hilo bango halionyeshi zomea zomea!!! au kuna facts nyingine kama ni hilo bango ndio limekusababisha useme zomea zomea unanipa maswali mengi sana!!!!!! acheni kampen chafu JF nimeona anasema silaha ana kimada so what???? jamani umakini unatakiwa katika kuleta hoja humu. Zomeazomea nilitarajia kuona kundi la watu wakionekana wanazomea au wana mabango yanayoomyesha uzomezi...au taarifa inayosema kuwa mkuu kapita mahali fulani kazomewa na ushahidi wa picha....acheni majungu ccm na chadema hamtashinda kwa kuhunisha kampeni.
mix with yours
Wakuu, mida hii hii nimekutana na mbatia na msafara wake eti anatoka kurudisha form - vibajaji na bodaboda kibao kutujazia foleni. hivi anategemea kweli anaweza kuwa rais wa nchi hii au anataka aingie kwenye vitabu vya kumbukumbu? - nafikiri wanasiasa wengi hawakusoma probabilty na permutation.
Watetezi wa ufisadi nao kwa ngonjera hawajambo
wewe ndio hazim..............kweli, unafikiri kuzomea hadi uone kundi la watu LOL! nadhani wewe ni great sinker siyo thinker kama unasubiri usikie sauti subiri.
kwani hapo unaona watu wangapi? ungeyaandika hayo kama picha ingekuonesha mtu mmoja, hata hivyo huyo huyo anaweza akazomea pia hivyo neno zomea zomea litabaki kama lilivyo, hata unaposikia neno maandamano si lazima liwe kundi kubwa,
hata mtu mmoja anaweza kuandamana na bango moja tu lenye ujumbe uliokusudiwa na yakaitwa maandamano tu.
hapo huna jipya