Latika habari jioni hii selikari yadai zoezi la sensa limefanikiwa asilimia 95, je kwa waliokubali kuhesabiwa tu? au kivipi? .Source itv
Ni kwamba kama kuna ambao walikataa kuhesabiwa, idadi yao ni chini ya asilimia 5% ya Watanzania...kwa lugha nyingine hawafiki milioni tatu!Latika habari jioni hii selikari yadai zoezi la sensa limefanikiwa asilimia 95, je kwa waliokubali kuhesabiwa tu? au kivipi? .Source itv