Zitto: Wavuvi wa Migebuka Kigoma watahusika kulipa deni la benki ya CreditSuisse ambalo Serikali ilikopa kununua ndege

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
2,038
3,931
zitto.jpg


Serikali ya CCM ya awamu ya Tano imekopa $500m kutoka Benki ya CreditSuisse ya Uswiss Kwa riba kubwa Sana. Sehemu ya Fedha hizo zimetumika kulipia Ndege ambazo Serikali inanunua. Wavuvi wa Migebuka Kigoma watahusika kulipa deni Hilo kupitia kodi zao.

 
Jamaa kashakupiga kijembe kule!! Kasema unadhani "walibadilishana na dagaa au Migebuka" Zitto watch out!! Jamaa hizi habari za kwenye mitandao ya kijamii mbona anazipata haraka hivi!!!Kuna mtu naona anamsomea pindi watu fulani wakiandika sidhani kama ana muda wa kufuatili hivyo!!!
 
Good......mikutano ya kisiasa ikiruhusiwa itakuwa saaafi saana.Hoja za wengi wanaopinga kila kitu ziko kibao na zikiachwa bila ya kujibiwa kwa wakati,ifikapo hiyo 2020 itakuwa ngumu kidogo kuzijibu zote.
 
Kiki zimebumaaaa
Umeamua kufata wavuvi..
Haya waambie waache kazi yao uone cha moto

Eeeeh umebumaaaaaaaa
Chama chake nacho kimebumaaaa.. 2020 lazima uletewe jembe huko akukarishe kijijini. Hana aibu kutishia wananchi huku yeye hata kazi ya maana hana.. nyumba yake aliyoichoma ameshadai fidia kupitia bima au wamemgomea!!!

Hapana chezea awamu ya 5,
 
View attachment 615135

Serikali ya CCM ya awamu ya Tano imekopa $500m kutoka Benki ya CreditSuisse ya Uswiss Kwa riba kubwa Sana. Sehemu ya Fedha hizo zimetumika kulipia Ndege ambazo Serikali inanunua. Wavuvi wa Migebuka Kigoma watahusika kulipa deni Hilo kupitia kodi zao.



Riba kubwa kuliko nchi gani? Mwambieni Zitto aweke riba waliyopewa Wakenya kutoka kwa hao hao CreditSuisse halafu alinganishe na Tanzania.
 
Tumekabithi nchi kwa malimbukeni na washamba wa madaraka hawapendi kuambiwa ukweli kabisa tunaambiwa hali ya uchumi unakua tungeona mzunguzuko wa pesa mtaani. Uchumi unakua kwa kigezo cha kununua ndege sita hizi sifa za kipuuzi ndege yetu Bombadier imekamatwa huko Canada tumeshindwa kulipa madeni huku huyu mtu wa ajabu anatuletea blah blah.
 
Naskia Kanada wamesema eti hata tukitekeleza amri ya mahakama ya kuwalipa wale jamaa bado hawataachia mchuma wetu mpaka na Acasia watoe kila kitu chao Bulyanhulu. Twafaaaa
 
Back
Top Bottom