Say what you like but Zitto amejijengea heshima ya umakini bungeni. For that case, anachokifanya Zitto ni sahihi kwasababu ikiwa kama serikali haitaki kuwataja na kuwalazimisha kurudisha upinzani wanaweza kutumia nguvu ya bunge. Ikishindikana bungeni basi kwa kupeleka malalamiko UN na UN kwa kutumia security council na organs kuwalazimisha nchi wanachama kama Switzerland kurudisha hizo fedha nchini. Niliwahi kusema hivi mafisadi wasikimbilie kuficha hela nje kwani ulimwengu wasasa ni kama kijiji. Zitajulikana tu na pindi upinzani wa kweli ukishika nchi hizo hela zitarudi tu!!!!. Safi sana Zitto wewe ndio rais wangu wa 2015 najua unapambana na maadui wakali sana ila mmungu subhanawataala yuko pamoja nawe. Komaa nao tu sisi wanajeshi wa kujitolea tupo nyuma yako.