Zitto nakuunga mkono!!

The Hunter

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
1,049
305
Niliposoma mawazo yako kile ulichokinena na kile unachokiamini nakubaliana na wewe uraisi si umri, hii nikutokana na ukweli kwamba wengi wa viongozi wenye umri mkubwa wameonyesha kushindwa na hata wakati mwingine wamepwaya katika nafasi zao. mfano
Ndugu Mwinyi
.
Japo kuwa alikuwa na umri mkubwa ktk uongozi wake alipelekea uchumi kushuka kwa kasi ya ajabu, ikafiki kipindi watu wachache wakawa na pesa kuliko serikali.
.Aliruhusu soko holela ambalo lilididimiza uzalishaji wa viwanda vya ndani na hivyo kupelekea kufa ka viwanda vingi
.Aliendesha serikali yake kisela, ilifikia kipindi wauzaji wa dawa za kulevya wakawa ndo mabwana wakubwa, kumbukeni ile kashfa ya mkewe mama siti.

Ndugu Benny Mkapa
Kidogo tunaweza sema alifanya kitu japo hakufanya sana
kumbukeni Wizi na uuzaji mkubwa wa mali za umma alifanya yeye


Ndugu Jakaya
.Huyu kiukweli nae kwa umri wake mkubwa, yanayotokea mnayaona na kuyashuhudia
mfano
-Kashfa ya mikataba mibovu ya madini
-Mdororo wa uzalishaji umeme hapo Tanesco
-Mambo ya Richmond na Dowans
-Kusafirishwa kwa wanyama huku serikali yake ikiwa bubu na bumbuwazi
-Safari za kila kukicha ambazo hazina tija
-Uuzaji holela wa raslimali zetu
-Kutokuwa na kauli juu ya mawaziri aliowateua wenyewe
-Rushwa iliyopitiliza

Sasa leo tunapomsakama Zitto tukumbuke nchi yetu ni moja ya nchi zinazosema zinaamini katika demokrasia, na kama ni hivyo swala la umri halilingani ama halifafanui ubora wa kiongozi
Raisi wa Burundi si mzee kihivyo lakini anaendesha nchi, tuone ni haki kwa kila mtu kuamua ama kutoa maoni yake na tuhimize katiba hii ya kikoloni iondoke kigezo cha umri kwani viongozi wazee wengi ni viongozi hovyo wasio na uchungu wa kesho kwani hujua watakufa karibuni na hivyo kuendesha serikali kishkaji bila kujali kama kesho na kesho kutwa jamii itawataka waseme walifanya nini.
Vuta picha fikiria hawa goigoi japo ya umri wao ona wanafanya nini na fikiri iwapo watachaguliwa kuongoza sababu wanakigezo cha umri serikali yao itakuaje
Mfano
.Ole sendeka
.Msekwa
.Pinda
.Anne malecela
.Makinda
.Sofia simba
.Mkuu wa mkoa wa arusha
.Membe
 
Niliposoma mawazo yako kile ulichokinena na kile unachokiamini nakubaliana na wewe uraisi si umri, hii nikutokana na ukweli kwamba wengi wa viongozi wenye umri mkubwa wameonyesha kushindwa na hata wakati mwingine wamepwaya katika nafasi zao. mfano
Ndugu Mwinyi
.
Japo kuwa alikuwa na umri mkubwa ktk uongozi wake alipelekea uchumi kushuka kwa kasi ya ajabu, ikafiki kipindi watu wachache wakawa na pesa kuliko serikali.
.Aliruhusu soko holela ambalo lilididimiza uzalishaji wa viwanda vya ndani na hivyo kupelekea kufa ka viwanda vingi
.Aliendesha serikali yake kisela, ilifikia kipindi wauzaji wa dawa za kulevya wakawa ndo mabwana wakubwa, kumbukeni ile kashfa ya mkewe mama siti.

Ndugu Benny Mkapa
Kidogo tunaweza sema alifanya kitu japo hakufanya sana
kumbukeni Wizi na uuzaji mkubwa wa mali za umma alifanya yeye


Ndugu Jakaya
.Huyu kiukweli nae kwa umri wake mkubwa, yanayotokea mnayaona na kuyashuhudia
mfano
-Kashfa ya mikataba mibovu ya madini
-Mdororo wa uzalishaji umeme hapo Tanesco
-Mambo ya Richmond na Dowans
-Kusafirishwa kwa wanyama huku serikali yake ikiwa bubu na bumbuwazi
-Safari za kila kukicha ambazo hazina tija
-Uuzaji holela wa raslimali zetu
-Kutokuwa na kauli juu ya mawaziri aliowateua wenyewe
-Rushwa iliyopitiliza

Sasa leo tunapomsakama Zitto tukumbuke nchi yetu ni moja ya nchi zinazosema zinaamini katika demokrasia, na kama ni hivyo swala la umri halilingani ama halifafanui ubora wa kiongozi
Raisi wa Burundi si mzee kihivyo lakini anaendesha nchi, tuone ni haki kwa kila mtu kuamua ama kutoa maoni yake na tuhimize katiba hii ya kikoloni iondoke kigezo cha umri kwani viongozi wazee wengi ni viongozi hovyo wasio na uchungu wa kesho kwani hujua watakufa karibuni na hivyo kuendesha serikali kishkaji bila kujali kama kesho na kesho kutwa jamii itawataka waseme walifanya nini.
Vuta picha fikiria hawa goigoi japo ya umri wao ona wanafanya nini na fikiri iwapo watachaguliwa kuongoza sababu wanakigezo cha umri serikali yao itakuaje
Mfano
.Ole sendeka
.Msekwa
.Pinda
.Anne malecela
.Makinda
.Sofia simba
.Mkuu wa mkoa wa arusha
.Membe

Ukiipata kamusi tafuta neno Paka shume. hivi mkuu kazi ya umamluki ikiisha utafanya kazi gani?
 
Ukiipata kamusi tafuta neno Paka shume. hivi mkuu kazi ya umamluki ikiisha utafanya kazi gani?


Kamanda joji!
Hebu tumsitiri naye huyu!
Bila shaka ndiyo kageuka kitandani akaja na hii thread!

Pole sana!
 
Kanywe naye uji! Zito is a simple mInded kind of a person! Just ignore him
 
Ukiipata kamusi tafuta neno Paka shume. hivi mkuu kazi ya umamluki ikiisha utafanya kazi gani?
Ndugu umamluki unaujua wewe, simjui Zitto wala sina undugu nae, bt mawazo yake na dhamira yake ndo imenifanya nimuunge mkono! silazima tufanane kimtazamo, ukiona nimepotea niache bt na uhuru wa kutoa mawazo
 
Huu ni uchafu unaoletwa jamvini na vibaraka wa Magamba.Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kuandika uchafu kama huu?
 
The Hunter na Zitto kosa lao ni nini hasa? kama wanataka umri wa kuwa rais uangaliwe upya, mbona ni jambo jema kwa maslahi ya vijana wote? Tuache mawazo hasi kwa mambo yaliyo chanya.
 
Kanywe naye uji! Zito is a simple mInded kind of a person! Just ignore him

tutaanza kukuIGNORE wewe kwanza,nasi Zitto,wewe nani?umetumwa,sishangai hata manabii walipata tabu sana kwenye familia zao,Zitto usirudi nyuma bro,ni zamu yetu vijana sasa

 
Tatizo ni katiba tuipiganie ibadilike na kuweza kuwatambua vijana kuwa wapo wenye uwezo na kipaji cha uongozi, katiba iondoe huu ubaguzi. Zito anaweza kuwa kiongozi mzuri endapo atatulia na kubadili aina ya upambanaji alionao, labda 2020 atakuwa ameiva na kujua kutembea anapostahili lakini si sasa.
 
Wakuu JF swala la umri wa kugombea urais haimanishi likilekebishwa tayari Zitto au J. Makamba watakukwaa urais. watalazimika kwanza kupata ridhaa ya kugombea urais kwenye vyama vyao then kupigiwa kura na watanzania. hili jambo nalifananisha na mtanzania mzalendo anapokuja na maada ya mgombea binafsi. watu humshambulia utafikiri akipishwa tu basi yeye anakuwa rais.

my take: wana JF tuondokane na mtazamo kama wa wabunge magamba Bungeni wanaojadili hoja bungeni kwa kuangalia "nani mtoa maada/hoja au imetoka upande gani" badala ya kuangalia umuhimu wa hoja katika swala zima la maendeleo ya nchi na watanzania kwa ujumla.

Ni mtazamo chanya wakuu.
 
GO GO GO GO GO ZITTTOOOO, I'M SUPPORTING YOU!

SASA NI ZAMU YA KIZAZI KIPYAAAA!!!!!

Wanaokupinga hawana hoja, hawajelewa kile ulichokiandika au hawataki kuelewa, au wanakurupuka tu na nadhani haswaa wanasukumwa na chuki binafs tu!!!
 
Kuna Zitto wawili. Kuna Zitto wa 2007 aliyekuwa mzalendo kwa taifa lake.
Pia kuna Zitto wa sasa ambaye ameshanunuliwa na magamba na wanamtumia wanavyotaka.
Zitto ni kibaraka !
 
Yaani hiyo mifano ya hao wazee uliyoitoa imenichefua na hasa ulipoanza na huyo Sendeka ingawa umenisaidia ukufatia Wassira maana ningedislike the post ingawa kwakweli Zitto for President jamani ni BIG NO
 
Wanaokupinga hawana hoja, hawajaelewa kile ulichokiandika au hawataki kuelewa, au wanakurupuka tu na nadhani haswaa wanasukumwa na chuki binafs tu!!!

Kuna Zitto wawili. Kuna Zitto wa 2007 aliyekuwa mzalendo kwa taifa lake.
Pia kuna Zitto wa sasa ambaye ameshanunuliwa na magamba na wanamtumia wanavyotaka.
Zitto ni kibaraka !

Hoja yako ni kibaraka, kwa vipi??!!
 
ZITTO Wanaokupinga hawana hoja, hawajelewa kile ulichokiandika au hawataki kuelewa, au wanakurupuka tu na nadhani haswaa wanasukumwa na chuki binafs tu!!!

Yaani hiyo mifano ya hao wazee uliyoitoa imenichefua na hasa ulipoanza na huyo Sendeka ingawa umenisaidia ukufatia Wassira maana ningedislike the post ingawa kwakweli Zitto for President jamani ni BIG NO

huyu hata hoja nyepesi hana, anakurupuka au anasukumwa na chuki binafsi tu!


 
Binafsi hua simkubali sana Zitto, namuona kama mpenda sifa flani hivi, but kwa hili namtetea.
Zitto kama Mbunge, kutamani Urais sio jambo la ajabu. Lah, hata kama sio Mbunge pia anaweza akautamani Urais pia.
Tumekua wepesi sana kuingia mkenge na hizi "Modified Titles" za kuuzia gazeti. Mtu kaulizwa kama anafikiri ni zamu ya Vijana kushika nafasi kama ya Urais, mngetaka ajibuje?? Na be kama anafikiri anaweza kuwa Rais ajae angejibuje??
Je ni yeye tu kakurupuka akasema anahitaji kua Rais na atachukua Form?? Au alikua akijibu swali kua anafikiri anaweza au hawezi???
 
Back
Top Bottom