The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Niliposoma mawazo yako kile ulichokinena na kile unachokiamini nakubaliana na wewe uraisi si umri, hii nikutokana na ukweli kwamba wengi wa viongozi wenye umri mkubwa wameonyesha kushindwa na hata wakati mwingine wamepwaya katika nafasi zao. mfano
Ndugu Mwinyi
.Japo kuwa alikuwa na umri mkubwa ktk uongozi wake alipelekea uchumi kushuka kwa kasi ya ajabu, ikafiki kipindi watu wachache wakawa na pesa kuliko serikali.
.Aliruhusu soko holela ambalo lilididimiza uzalishaji wa viwanda vya ndani na hivyo kupelekea kufa ka viwanda vingi
.Aliendesha serikali yake kisela, ilifikia kipindi wauzaji wa dawa za kulevya wakawa ndo mabwana wakubwa, kumbukeni ile kashfa ya mkewe mama siti.
Ndugu Benny Mkapa
Kidogo tunaweza sema alifanya kitu japo hakufanya sana
kumbukeni Wizi na uuzaji mkubwa wa mali za umma alifanya yeye
Ndugu Jakaya
.Huyu kiukweli nae kwa umri wake mkubwa, yanayotokea mnayaona na kuyashuhudia
mfano
-Kashfa ya mikataba mibovu ya madini
-Mdororo wa uzalishaji umeme hapo Tanesco
-Mambo ya Richmond na Dowans
-Kusafirishwa kwa wanyama huku serikali yake ikiwa bubu na bumbuwazi
-Safari za kila kukicha ambazo hazina tija
-Uuzaji holela wa raslimali zetu
-Kutokuwa na kauli juu ya mawaziri aliowateua wenyewe
-Rushwa iliyopitiliza
Sasa leo tunapomsakama Zitto tukumbuke nchi yetu ni moja ya nchi zinazosema zinaamini katika demokrasia, na kama ni hivyo swala la umri halilingani ama halifafanui ubora wa kiongozi
Raisi wa Burundi si mzee kihivyo lakini anaendesha nchi, tuone ni haki kwa kila mtu kuamua ama kutoa maoni yake na tuhimize katiba hii ya kikoloni iondoke kigezo cha umri kwani viongozi wazee wengi ni viongozi hovyo wasio na uchungu wa kesho kwani hujua watakufa karibuni na hivyo kuendesha serikali kishkaji bila kujali kama kesho na kesho kutwa jamii itawataka waseme walifanya nini.
Vuta picha fikiria hawa goigoi japo ya umri wao ona wanafanya nini na fikiri iwapo watachaguliwa kuongoza sababu wanakigezo cha umri serikali yao itakuaje
Mfano
.Ole sendeka
.Msekwa
.Pinda
.Anne malecela
.Makinda
.Sofia simba
.Mkuu wa mkoa wa arusha
.Membe
Ndugu Mwinyi
.Japo kuwa alikuwa na umri mkubwa ktk uongozi wake alipelekea uchumi kushuka kwa kasi ya ajabu, ikafiki kipindi watu wachache wakawa na pesa kuliko serikali.
.Aliruhusu soko holela ambalo lilididimiza uzalishaji wa viwanda vya ndani na hivyo kupelekea kufa ka viwanda vingi
.Aliendesha serikali yake kisela, ilifikia kipindi wauzaji wa dawa za kulevya wakawa ndo mabwana wakubwa, kumbukeni ile kashfa ya mkewe mama siti.
Ndugu Benny Mkapa
Kidogo tunaweza sema alifanya kitu japo hakufanya sana
kumbukeni Wizi na uuzaji mkubwa wa mali za umma alifanya yeye
Ndugu Jakaya
.Huyu kiukweli nae kwa umri wake mkubwa, yanayotokea mnayaona na kuyashuhudia
mfano
-Kashfa ya mikataba mibovu ya madini
-Mdororo wa uzalishaji umeme hapo Tanesco
-Mambo ya Richmond na Dowans
-Kusafirishwa kwa wanyama huku serikali yake ikiwa bubu na bumbuwazi
-Safari za kila kukicha ambazo hazina tija
-Uuzaji holela wa raslimali zetu
-Kutokuwa na kauli juu ya mawaziri aliowateua wenyewe
-Rushwa iliyopitiliza
Sasa leo tunapomsakama Zitto tukumbuke nchi yetu ni moja ya nchi zinazosema zinaamini katika demokrasia, na kama ni hivyo swala la umri halilingani ama halifafanui ubora wa kiongozi
Raisi wa Burundi si mzee kihivyo lakini anaendesha nchi, tuone ni haki kwa kila mtu kuamua ama kutoa maoni yake na tuhimize katiba hii ya kikoloni iondoke kigezo cha umri kwani viongozi wazee wengi ni viongozi hovyo wasio na uchungu wa kesho kwani hujua watakufa karibuni na hivyo kuendesha serikali kishkaji bila kujali kama kesho na kesho kutwa jamii itawataka waseme walifanya nini.
Vuta picha fikiria hawa goigoi japo ya umri wao ona wanafanya nini na fikiri iwapo watachaguliwa kuongoza sababu wanakigezo cha umri serikali yao itakuaje
Mfano
.Ole sendeka
.Msekwa
.Pinda
.Anne malecela
.Makinda
.Sofia simba
.Mkuu wa mkoa wa arusha
.Membe