Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Sisi wapiga kura wa Mwandiga tulisha umwa na nyoka sasa tunaogopa hata mjusi.
Kuna harakati hapa Mwandiga za kuhakikisha mbunge wa zamani ZZK anarudi kugombea jimboni hapa.
Lkn kwa taarifa yake ZZK sisi wana Mwandiga hatupo tayari kumpokea huyo ndugu yetu maana alitukimbia na kwenda kugombea Kigoma.
Anaona amekwama ndiyo anarudi kwetu wakati alitukimbia?
Baada ya chama chake kupoteza ushawishi kwenye jamii hasa mara baada ya Mwenyekiti wake marehemu Seif Sharif Hamad kufariki.
Mwandiga hatupo tayari kukuunga mkono MWANA WACHUU .
Kuna harakati hapa Mwandiga za kuhakikisha mbunge wa zamani ZZK anarudi kugombea jimboni hapa.
Lkn kwa taarifa yake ZZK sisi wana Mwandiga hatupo tayari kumpokea huyo ndugu yetu maana alitukimbia na kwenda kugombea Kigoma.
Anaona amekwama ndiyo anarudi kwetu wakati alitukimbia?
Baada ya chama chake kupoteza ushawishi kwenye jamii hasa mara baada ya Mwenyekiti wake marehemu Seif Sharif Hamad kufariki.
Mwandiga hatupo tayari kukuunga mkono MWANA WACHUU .