Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,536
- 30,605
Lazima watanagaze msiba kwanza hata kama anaapishwa wakati huo huo.Yuko huwa Unatangazwa msiba hapo hapo anaapishwa shughuli zinaendelea yaani Ceremony huwa inaandaliwa hapo hapo anatoka kutangaza anaapishwa hapo hapo
Imetoka Botswana amefariki rais makamu anatangaza kifo chake within few hours anaapishwa.