Kwani una uhakika gani kama ataendelea kuwa huru?Halafu Zitto bado analalamika uhuru wa kutoa maoni umefinywa.
Kwani una uhakika gani kama ataendelea kuwa huru?Halafu Zitto bado analalamika uhuru wa kutoa maoni umefinywa.
Huyo Jaji atatoka wapi asiyejipenda kiasi hicho! Kwanza ni waziri gani huyo mwenye uthubutu huo, Kabuti Kalamaganda?View attachment 874355View attachment 874356
Zitto kaona kitu gani ambacho hakiendi sawa hadi akatoa ushauri wa aina hii, hebu tusaidiane kulijua hilo gharika linalotunyemelea.
Na wewe una uhakika gani kama hataendelea kuwa huru?Kwani una uhakika gani kama ataendelea kuwa huru?
Iko sawa kabisa, vizazi vya digital ni shida, jiulize kwa miaka isiyozidi 60 ya Uhuru Taifa lina km za lami zisizopungua 18,000 nchi nzima, Luna Vyuo vikuu vya binafsi na serikali visivyopungua 20, kuna Hosiptali za Rufaa zisizopungu 5, kuna idadi ya MDs wasiopungua 10,000 kuna Wanasheria wenye shahada wasiopungua 25,000 kuna Wasomi wenye PhD wasiopungua 3, 000 kuna zahanati na vituo vya Afya kila Kata kote nchini n. k. Mwaka 1961 tunapata Uhuru toka kwa Wakoloni waliotutwala kwa miaka isiyopungua 70, walituacha na lami km 1,700 , MDs 2, mwanasheria 1, shule za Sekondari 7, PhD hakuna, na mengine kadha wa kadha yalikuwa chini kupindukia, sasa leo mtu mzima anabeza hatua hizi, je alitaka tuwe hatua gani? Kwanini ajilinganishe na China, ikumbukwe China wakati inapata Uhuru wake ilikuwa imefikia hatua za kurusha set light angani. Sasa utajilinganishaje? Tunakwenda kwa kasi ya Km 150 hr. Na Gari yenye uwezo wa km 180 kwa hr.Umeona mengi
Subiri aendelee kuwa huru sasa, haraka ya nini sau unataka kuwahi buku?Na wewe una uhakika gani kama hataendelea kuwa huru?
Kwani nimekuambia hayuko huru?Subiri aendelee kuwa huru sasa,..
Kwani hayo ni maoni ya zitto au ni katiba ndio imeeleza? Jiwe si alishasema yeye ni "KICHAA"?Halafu Zitto bado analalamika uhuru wa kutoa maoni umefinywa.
Vyovyote vile unavyoona sawa tu.Kwani hayo ni maoni ya zitto au ni katiba ndio imeeleza? Jiwe si alishasema yeye ni "KICHAA"?
si amekariri kifungu hapo mkuu na akazungushia duara?Mabaya gani mbona mnajihisi?
Ina maana mkuu unataka kusema hata Congo kwa kina Sishekedi wanatuzidi?Zitto ndio mwanasiasa pekee aliebakia Tanzania,mwenye uelewa,mwenye "vision" ya kuipeleka hii nchi katika hali ya maisha bora kwa watanzania wote,..
Mkuu unajua kuwa Tanzania ni nchi ya 153 katika nchi 157 ya wananchi wake wanaishi katika maisha ya dhiki...Hlafu ati unakuta watu wanahama vyama kwenda kuunga mkono maendeleo yanayoletwa na CCM,CCM imetawala zaidi ya moaka 50 hapa ndipo walipotufikisha
Nchi ya kwanza kwa maisha bora ni Finland
These are the 10 least happiest countries in 2018: Nchi 10 zisizo na furaha duniani
- Malawi
- Haiti
- Liberia
- Syria
- Rwanda
- Yemen
- Tanzania
- South Sudan
- Central African Republic
- Burundi
WAJAMENI; msema kweli, mpenzi wa Mungu anajutia tena?Hii kauli jamaa najua kila akikaa na kuitafakari huwa anajuta sana kwa nini aliitamka
Kweli ww ni AputwikeNashangaa kwanini wanamuogopa Rais kama ndiye Mungu aliyeumba Tanzania. Kibarua amepewa na watu, kama ameshindwa kumudu atimuliwe tu.
Sema kuna mabadiliko na sio maendeleo...mabadiliko sio necessarily maendeleoWatoto waliozaliwa Baada ya Nyerere ndio wanazungumzia 'kupata maendeleo'
Sie tuliokuwepo kitambo Na tunajua definition ya Maendeleo tunajua Maendeleo Ni Safari Na hakuna Hata Taifa Moja limefika Mwisho wa hiyo Safari Na Sie hatujafikia Mwisho wa hiyo Safari Ila tumepiga hatua Alhamdulillah
Kutoka kushangaa Mwanafunzi anaekwenda Shule kavaa viatu mpaka Leo tunashangaa aseivaa viatu ,
tulikuwa tunashangaa Mtu Mwenye simu ya Mkononi mpaka Leo tunamshamgaa asie Na Simu ya Mkonon
kutoka kushangaa anaefaulu Darasa la Saba mpaka Leo tunashangaa anaefeli,
kutoka kumshangaa anaemkosoa Rais mpaka Leo tunamshamgaa asiemkosoa Rais
Maendeleo yapo Sana Sana unless otherwise umezaliwa hivi karibuni
WEWE HUONI MAGUFULI NI MGOJWA WA AKILIView attachment 874355View attachment 874356
Zitto kaona kitu gani ambacho hakiendi sawa hadi akatoa ushauri wa aina hii, hebu tusaidiane kulijua hilo gharika linalotunyemelea.
NAKUUNGA MKONO KABISA MKUU, zitto ako sawa kabisaSi juzi usiku mlisema mnasitisha shuguli za uokoaji kwa sababu waliobakiwa wote wameshakufa?
Na magogoni wakanyamaza kimya.
Leo nasikia kaokolewa mtu yupo hai
Unadhani tangia juzi wamekufa wangapi kwa sababu ya upumbavu wenu?
Aisee baraza liwakilishe kwa jaji mkuu haraka sana na jaji ateua madaktai
NA NDIVYO tutazidi kuumia mkuuHapo hkuna anae weza fanya hivyo maana wooote ni wateule wa rais asa sijaju kama unaweza mwondoa mtu alie kuteua