palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Tuliza munkari kaka mambo yanakuja
hakuna lolote lile nalitarajia toka kwa zitto. nafahamu fika taratibu za kufuatilia pesa uswizi na mtu binafsi wala asikuaminishe kuwa eti anajua nani anamiliki pesa uswisi. kwanzaniambie kuna kesi ngapi mahakama za tanzania na zile za uswisi zimefunguliwa kwa wahujumu uchumi, kukwepa kodi au kusafirisha pesa haramu? je tanzania tuna sheria yoyote tuliyoingia mkataba na uswizi namna ya kuwabana wanoingiza pesa uswisi wakiwa ni raia wa tanzania.? ukweli ni kuwa hilo hatuna?