MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
wale vijana wake wa umoja wa vijana ccm waliomuandalia mdahalo PALE kempisk WAKO WAPI????? ??
Nimeona Zitto amakuja na gear yake ya kuchanganya watu na hela za escrow lakini watu wenye akili zao tulishajua kuwa hii ni danganya toto maana ni kawaida yake kutumiwa atapika kelele mwishowe atakaa kimya kama malengo yake yatatimia
Nia yake anataka hii hoja aibebe yeye mweyewe arafu awapoteze watu
Zitto ni Kama Pasco kutumiwa pindi wanapoitajika
Last edited by a moderator: