Hawa watu hawako siriasi!!!
Mkuu kwa hilo nakubaliana na wewe maana Waziri Nyalando ameanza na salamu za valentine kwa mke wake na watoto badala yakujibu swali la msingi.
Kwa Nchi yenye matatizo kama yetu nadhani tuna hitaji watu wakutekeleza majukumu yao kwa wakati na kwa uadilifu angalo tupige hatua mbele.
Wamevamiwa na kutekwa akili na majini ya sheikh ambayo sisiemu wameridhia kwamba yamlinde jk, chama chake na serikali yake!!!!!!! Majini hufanya watu kuwa mazezeta na mazuzu ili kuwatawala yatakavyo!!!!!!!!! Wabunge wa sisiemu wewe waangalie kwenye hoja nyeti kwa uhai wa taifa hili-utashangaa wanatetea ufisadi mradi tu CDM wanapinga jambo hilo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! UUUUUUUUUUUUUwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!How many times shall we say that CCM MPs are NOT SERIOUS???
Watu wanaona kila kitu kinachofanywa na Wabunge wa CCM. Ni uzuzu na uzezeta mtupu. Hawako serious ka maana ya kuwa serious haswa. Ndiyo maana MAMBO YANAENDA NDIVO SIVYO. Mifano HAI NI MATATIZO YA UMEME NA MATOKEO MABAOVU YA KIDATO CHA IV 2010!
Mkuu kwa hilo nakubaliana na wewe maana Waziri Nyalando ameanza na salamu za valentine kwa mke wake na watoto badala yakujibu swali la msingi.
Kwa Nchi yenye matatizo kama yetu nadhani tuna hitaji watu wakutekeleza majukumu yao kwa wakati na kwa uadilifu angalo tupige hatua mbele.
Mpuuzi sana huyu, anatuma salamu za valentine kwa gharama zetu wa Watanganyika. Kwanini asingeenda kununua kadi akatumia? Ama akenda redio Mawingu (Clouuuudsssss efu M)
Atii!... Wanatumiana salam za valentine bungeni!???... Upepo uliotekea Tunisia & Egypt utafika Tz soon than our expectations!Mkuu kwa hilo nakubaliana na wewe maana Waziri Nyalando ameanza na salamu za valentine kwa mke wake na watoto badala yakujibu swali la msingi.
Kwa Nchi yenye matatizo kama yetu nadhani tuna hitaji watu wakutekeleza majukumu yao kwa wakati na kwa uadilifu angalo tupige hatua mbele.
Tuige bunge la somalia