Si chama CHADEMA kitishe maandamano ili huyu Bwn JK ASIFIKIRI AKINYAMAZA WATU WATANYAMAZIA HUO UOZO!Masikitiko makubwa kwa watanzania ni kwamba pamoja na uozo wote anaofanya mkulo, raisi Kikwete atanyamaza as if hajui wala hakusikia kinachoendelea kati ya CHC na waziri mkulo. Atanyamaza kimya na mkulo ataendelea na nafasi yake ya uwaziri na hatimaye ataharibu ushahidi na kujinasua na kadhia hii.
Hapa ndipo huwa tunatamani rais Kikwete atumie mamlaka yake japo kidogo tu, kuonyesha wananchi kwamba yuko kwa maslahi yao, lakini wapi bwana hili nalo litapita hivi hivi!
Wakimbizi wanaotutesa.
1. Mustapha mkullo
2. Joseph mungai
3. Rostam aziz
4. Daud balali
5. Jeetu patel
6.
7.
8.
Et al
Mkulo kalikoroga kitendo cha kuvunja bodi kinyemela kinadhihirisha kuna jambo limejificha nyuma yake. Ningelikuwa JK hiyo ni sababu tosha ya kumtaarifa mkulo aachie ngazi kwani tayari ameshajitia kitanzini. Inanikumbusha hadithi ya mama Meghji na barua ya Balali!!!Kazi nzuri Zitto wacha tuangalie JK atafanya nini!
Kazi nzuri mh.Zitto
Huyu mkulo tangu amekuwa waziri wa fedha tumeshuhudia hali ngumu sana ya maisha. Bei ya bidhaa inapanda kila kukicha, mishahara ya wafanyakazi wa serikali inachelewa isivyo kawaida na kubwa kuliko vyote miradi mingi ya maendeleo kama si yote imesimama kama si kufa kabisa kwa kukosa fedha.
Kuna taarifa kwamba pamoja na kwamba bajeti ya serikali imepitishwa tangu mwezi wa sita, takriban miezi minne sasa bado taasisi na idara za serikali hazijapokea mafungu yao, hivyo kusababisha shughuli nyingi za kimaendeleo kukwama. Mkulo asipotimuliwa wizara ya fedha tujue tunapalilia janga la kitaifa.
Hapa tatizo ni moja madudu na ufisadi aliyonayo rais jk kikwete na viongozi wengi wa ccm na serikali ni makubwa zaidi wataendelea kulindana mpaka nguvu ya umma itakapowakurupusha kutoka madarakani.Mungu ibariki tanzania!masikitiko makubwa kwa watanzania ni kwamba pamoja na uozo wote anaofanya mkulo, raisi kikwete atanyamaza as if hajui wala hakusikia kinachoendelea kati ya chc na waziri mkulo. Atanyamaza kimya na mkulo ataendelea na nafasi yake ya uwaziri na hatimaye ataharibu ushahidi na kujinasua na kadhia hii.
Hapa ndipo huwa tunatamani rais kikwete atumie mamlaka yake japo kidogo tu, kuonyesha wananchi kwamba yuko kwa maslahi yao, lakini wapi bwana hili nalo litapita hivi hivi!