Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,292
- 10,706
Kwanini tusome wakati kazi yetu ni kusifu na kusema ndiyooooooooooHuu uzi umenifungua mengi. Nimejifunza mambo yafuatayo:
1. Tuna kundi kubwa la watu wavivu wameshikilia ofisi kubwa. Hawasomi, hawana critical thinking skills na wanaamua by instincts.
2. Taifa letu nimeanza kujaa kizazi cha watu wasiokuwa na maarifa. Watu wasiosoma maandiko mapya na reports mpya hujikita zaidi kwenye historia.
3. Watu wengi wapo nyuma ya wakati. Karne hii mtu anashangaa kusikia kuna mtu kasoma vitabu 48. Ni jambo la aibu sana.
4. Kama watu wa elimu wanaweza ni vema wajikite kusisitiza na kupanda tabia ya usomaji miongoni mwa wanafunzi.
Sent using Jamii Forums mobile app