Zitto akaribishwa NCCR-Mageuzi Urais 2015

Kisandu ameona nccr kuna vilaza hawana uwezo basi chama hiki kifungwe amewadhalilisha kina kafulila.
 
Kama mtu anatoka chama kingeni na kwenda kugombea NCCR inamaanish NCCR hawana watu wenye uwezo....na kina paswa kufutwa...maana hakina malengo yoyote ya maana
 
kumbe shida ya zito ni kugombea tu uraisi 2015???? halafu baada ya hapo
hivi na hawa ni nccr au ni nccmr B
kwani cuf ni ccmuf A.

CCM Watanzania wa leo ni watu makini hawadanganyiki wala msijidanganye, kwani hii mbinu ya kukufanya nccr kuwa chama kikuu cha upinzani kwa njia hii mtaweza baada ya wizi wa kura na hapa ndipo tendwa ataingia na ile sera ya kukiweka chadema kwenye usajili wa muda ili kuwakatisha Tamaa watanzania kuwa kama tulikiamini chadema na kimeshika nafasi ya nne kwenye uchaguzi wa 2015 kwa ccm mnataka kuiba kura halafu nccr kishike nafasi ya pili na cuf nafasi ya tatu na na wakubali matokeo kwa urahisi na kusaini baada ya chadema kushika nafasi ya nne na kugomea matokeo mtashindwa vibaya kwani pale manapojidhani kuwa mmesimama mtakuta mlishaanguka siku nyingi kuna majimbo amabayo hamtegemea kuyapoteza lakini 2015 mengi yao yatachukuliwa na upinza bila nyie wenyewe kuelewa kwani mtaweka nguvu nyingi kuridisha majimbo yaliyotwaliwa na upinzani kama Arusha, mwanza na mengineyo na mtasahau kuwa M4C imehsyashughulikia majimbo mengine.

Ngoja kwanja kabla ya kuongelea uchaguzi wa 2015 Je hakutatokea mabadiliko makubwa kabla ya hapo yakayokiyumbisha CCm? bado nina maono kuelekea 2015 kama mtamaliza niliwahi kusema hapa na ninarudia kusema kusema kuwa uongozi huu hautamaliza utawalawa wake kwani nguvu ya Asilia inayoendesha mambo katika ulimwengu huu ambayo wengine mnaiita MUNGU ni kubwa kuliko nguvu ya CCm hili inatakiwa mlitambue na hili tumekwishaliona katika maono
 
Jamani msiwe na akili za samaki kama masisiemu, ZKK anatumiwa na ccm believe me na yeye alikuwa kitu kimoja na kisandu hadi kutangaza kugombea urais nadhani na yy ndo alimshauri aende nccr

Hebua angalia uhusiano wa mbatia na Jk then Zitto na Jk, Zitto na TISS, Zitto na Rostamu, tazama zitto na kafulila nenda hatua moja mbele angalia zitto na nccr kigoma ukitoka hapo unganisha maneno ya Mbatia juzi kwamba wanatafuta njia ya kunegotiate na kafulila kumbuka kwenye ule mzozo walimulaumu zitto kwamba anawaharibia chama kwa hiyo hiyo negotiatian zitto yupo nyuma mpango kamili.

hata huu mpango wa ccm wakutaka mgombea binafc ni kukigawa CDM kwamba wakimtosa zitto agawe kura kwa mpango huo, kama hawa ccm walikataa hadi mahakamani mgombea binafc nini leo kinachosababisha wamtake sana? kama sio zitto na Lowasa

ukisoma hapo changanya na za kwako
 
...Tunatamka jina la zitto kwakua yuko CDM. Tunajua kuwa CCM wanamtumia, wameenda mbali zaidi sasa ya kutaka kumsimamisha kama mgombea binafsi ili iwe rahisi kuchakachua kura! Huu mpango tunaujua na utafeli kama kawaida yao...
 
Kupitia mlango wa NCCR MAGEUZI ni kupoteza muda na raslimali alizotumia kujijenga chadema.Atapoteza uaminifu na kuonekana ana uchu wa madaraka. Huwezi kulazimisha kuwa kiongozi Waache wenzako waseme wanakuhitaji uwaongoze. Ona Dr slaa alivyoombwa kugombea urais 2010. Wala hakuwa na tamaa wala wazo la kugombea urais wakati ule. Ona alivyokubalika na watanzania na anavyoendelea kukubalika na kupendwa. Wacha watu au wenzako wakutangulize mbele na sio kujitanguliza kwa lazima. SUBIRA YAVUTA HERI.
 
Ana wiki mbili tangu ahamie NCCR Mageuzi, hajasoma Katiba aielewe, tayari ameanza kumtangazia Zitto nafasi ya kuwa Mgombea Urais kupitia Chama hicho. Naona anafanya kazi yetu vizuri maana tulimtuma CHADEMA, lakini huko dili limeungua, kijana huko fanya vema. Mkakati wa kuwatumia vijana wa NCCR wamkubali Zitto kuwa Mgombea Urais utasaidiwa vema na Kafulila, hata kama akina Mbatia hawataki. Safi, kazi inafanyika CHADEMA watakumiss kweli.
 
Mbinu ya CCM hiyo!
Naafiki. wanadhani zitto akigombea nccr atagawa kura za vijana wa chadema hivyo wao watashinda kiurahisi. Cdm inabidi imhandle huyo dogo kama nyoka ili hili likitokea hata july 2015 wao wasiyumbe.
 
Hii mijadala ya Zitto kutaka kugombea kupitia NCCR Mageuzi haina tija yoyote. Kama shida yake ni urais na anadhani anaweza kuupata kupitia ccm au nccr mageuzi ni sawa tu. Lakini kwanza atutajie yale majina ya walioficha mabilioni Uswis.
Msitutoe katika mjadala wa msingi kipindi hiki kuelekea bunge la mwezi wa pili. PIA tujadilie hali ya elimu yetu na matokeo ya watoto wetu katika mitihani ya darasa la saba na kidato cha pili. Tuache ujinga wa kujadili mambo madogo madogo ambayo majibu yake yatapatikana muda unapofika. Suala la elimu yetu ni la muda wote na kufeli kwa watoto wetu ni kuzidi kubomoka kwa taifa letu
 
Sio mbaya.kwangu mimi mtu pekee ambaye naona kwamba ana uchungu na mali za watanzania na watanzania wenyewe ni Zitto,so namuona kama mtu mwenye nia njema na nchi hii kwa mujibu wa historia yake katika nchi hii.

Na kama akipewa nafasi huko walikomuita,na CCM ikakosea kumpata mtu safi,basi anaweza kuchukua nchi kwa sababu sioni mtu wa kuweza kumshindanisha naye ndani ya vyama vingine,ukiiacha CCM lakini endapo nayo itampata mtu safi na makini kama John Pombe Magufuli basi safari yake itakuwa imeishia hapo.

Sasa kwanini usishauliwe akagombee ccm si kikwete anaondoka na hadi sasa hawajapata mtu wa kusimama kwenye hicho kiti. Hii ni kama kweli ana uchungu na nchi yake na rasilimali zilizopo
 
watu wa kigoma wana chama chao kinaitwa CHAUMA, nccr wasahau ubunge 2015
 
Kama mtu anatoka chama kingeni na kwenda kugombea NCCR inamaanish NCCR hawana watu wenye uwezo....na kina paswa kufutwa...maana hakina malengo yoyote ya maana

Na kama zito akitua NCCR basi ujue warundi wote watajaa NCCR kumpa support ya kuutafuta ushindi wa urais bara
 
Back
Top Bottom