omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Na Mwisho wa Wafitini ni Kuumbuka tu na ndiyo maana watu wameanza kufuta Post zao humu baada ya Kugundua Kwamba Kuna siku wataambiwa Wazimeze lakini Watashindwa
Kufuta post zangu sio kuwa namuogopa mtu wala kuogopa kitu. Nimefanya hivyo kwa kuwa niliamini kuwa kuna mahala, hata kama ni ukweli niliousema lakini kitendo cha kusema hapa ama style ya kuyasema nilikosea na pia nilitegema huu mjadala ungeisha kwa faida ya wote. Hakuna siku ninayoweza kutakiwa kuyameza niliyoyasema kwani nina uhakika nayo na ninayaamini na nitayasimamia mpaka mwishio............
Tatizo hapa wakati mwengine unajikuta una deal na vichwa maji ambao kwao siasa ni kama kamchezo ama deal fulani na hivyo unapogundua hilo ni busara kukubali kushindwa kama nilivyofanya lakini sio kuwa ninamuogopa yeyote ama kitu chochote...............