Zingatia haya ili kumfanya mwanamke atake mahusiano nawe kirahisi

Infinite_Kiumeni

JF-Expert Member
Jan 23, 2023
382
661
Kumwambia mwanamke awe wako pekee mapema ni kama kumlazimisha penzi. Utapoteza mvuto na thamani ya penzi itakua ni ndogo. Hata wewe, mwanamke akikufata moja kwa moja anataka ulale nae, hautomheshimu kama yule mwanamke uliyechukua muda kumtongoza.

Sote tuna hamu ya kuhangaikia kitu japo tunaweza tusiseme, lakini chochote tunachokipata kiurahisi hatukithamini.

Sasa ili upate mahusiano yenye uthamani zingatia haya.

Usiwe king’ang’anizi.
Wanawake wana malalamiko mengi kwenye mahusiano.

Lakini kitu kikubwa wasichovutiwa nacho ni mwanaume king’ang’anizi.

Utaonekana king’ang’anizi pale ambapo umejiwekeza kwenye mahusiano kuliko mwanamke.

Kuna muda mwanamke atajiweka mbali nawe kimakusudi. Tambua anakupima kama we ni king’ang’anizi.

Epuka tabia ya kumpigia simu au kutuma sms nyingi kutaka mahusiano na mwanamke.

Mahusiano ni idara ya mwanamke, mwache ye ndo awe king’ang’anizi wa mahusiano.

Mpe muda atake mwenyewe muwe kwenye mahusiano.
Kwa sisi wanaume, ni rahisi.
Tukiona mwanamke, tunaamua haraka tunataka kuwa naye au la.

Lakini wanawake inategemea na anavyojisikia kwa muda huo.
Mwanamke anahitaji muda kumjua mwanaume wake.
Kama ni sahihi kwa ajili ya kutengeneza naye familia.

Wekeza taratibu kwenye mahusiano.
Wakati mnaanza, mtakua mnawasiliana kidogo. Lakini kadri unavyoonesha yupo tayari kuwa nawe, ongeza ukaribu.

Kama mlikua mnakutana mara moja kwa wiki, unaweza kutana naye mara mbili kwa wiki.

Kama ulikua humtafuti mpaka wiki iishe, unaweza kumtafuta kati kati ya wiki. Lakini kuwa makini usiingie kwenye ung’ang’anizi. Ila ongeza muda unaotumia pamoja naye taratibu.

Kwenye kukutana kwenu usiwazie kuongea naye suala la kutaka kuwa naye kwenye mahusiano. Muda wako wekeza kwenye, kutoka naye, kufurahi naye na kufanya naye mapenzi.
Unapojipa muda maana yake mahusiano yenu yatakua yenyewe bila kulazimishana.
 
Kumwambia mwanamke awe wako pekee mapema ni kama kumlazimisha penzi.

Utapoteza mvuto na thamani ya penzi itakua ni ndogo.

Hata wewe, mwanamke akikufata moja kwa moja anataka ulale nae, hautomheshimu kama yule mwanamke uliyechukua muda kumtongoza.

Sote tuna hamu ya kuhangaikia kitu japo tunaweza tusiseme, lakini chochote tunachokipata kiurahisi hatukithamini.

Sasa ili upate mahusiano yenye uthamani zingatia haya.

Usiwe king’ang’anizi.
Wanawake wana malalamiko mengi kwenye mahusiano.

Lakini kitu kikubwa wasichovutiwa nacho ni mwanaume king’ang’anizi.

Utaonekana king’ang’anizi pale ambapo umejiwekeza kwenye mahusiano kuliko mwanamke.

Kuna muda mwanamke atajiweka mbali nawe kimakusudi. Tambua anakupima kama we ni king’ang’anizi.

Epuka tabia ya kumpigia simu au kutuma sms nyingi kutaka mahusiano na mwanamke.

Mahusiano ni idara ya mwanamke, mwache ye ndo awe king’ang’anizi wa mahusiano.

Mpe muda atake mwenyewe muwe kwenye mahusiano.
Kwa sisi wanaume, ni rahisi.
Tukiona mwanamke, tunaamua haraka tunataka kuwa naye au la.

Lakini wanawake inategemea na anavyojisikia kwa muda huo.
Mwanamke anahitaji muda kumjua mwanaume wake.
Kama ni sahihi kwa ajili ya kutengeneza naye familia.

Wekeza taratibu kwenye mahusiano.
Wakati mnaanza, mtakua mnawasiliana kidogo. Lakini kadri unavyoonesha yupo tayari kuwa nawe, ongeza ukaribu.

Kama mlikua mnakutana mara moja kwa wiki, unaweza kutana naye mara mbili kwa wiki.

Kama ulikua humtafuti mpaka wiki iishe, unaweza kumtafuta kati kati ya wiki. Lakini kuwa makini usiingie kwenye ung’ang’anizi. Ila ongeza muda unaotumia pamoja naye taratibu.

Kwenye kukutana kwenu usiwazie kuongea naye suala la kutaka kuwa naye kwenye mahusiano. Muda wako wekeza kwenye, kutoka naye, kufurahi naye na kufanya naye mapenzi.
Unapojipa muda maana yake mahusiano yenu yatakua yenyewe bila kulazimishana.
Wakati huo unaremba kuna baharia atapita nae chaap na hutaona akijibu tena sms zako.
 
Acha maneno mingi mwanamke anataka Resources, status, na security pia Afya njema ya mwanaume
 
Yaani mimi mwanamke anifate aseme anataka kufanya mapenzi na mimi ety niogope. Hii hapana. Na ntamuheshimu
Aisee hata mimi haiwezekani nikatae.
Mfano kuna mwaka nilikuwa nataka nikamtongoze demu mmoja hivi. So nikaenda kwao,nilipofika nikamkuta mdogo wake na yule dem,she was over 18, kufika nikamuita nae akaja.Nikamsalimia inakuaje?(yeye akadhani namtongoza) akajibu poa tu kwani wewe unalala wapi?
Sikuvunga nikampa location,mida ya saa nne usiku mtoto huyo Aisee nilipiga mbususu hadi asubuhi.
Na nilikaa nae almost three months.
Baada ya mwaka nikaja kumla dada mtu sasa.
 
Kumwambia mwanamke awe wako pekee mapema ni kama kumlazimisha penzi. Utapoteza mvuto na thamani ya penzi itakua ni ndogo. Hata wewe, mwanamke akikufata moja kwa moja anataka ulale nae, hautomheshimu kama yule mwanamke uliyechukua muda kumtongoza.

Sote tuna hamu ya kuhangaikia kitu japo tunaweza tusiseme, lakini chochote tunachokipata kiurahisi hatukithamini.

Sasa ili upate mahusiano yenye uthamani zingatia haya.

Usiwe king’ang’anizi.
Wanawake wana malalamiko mengi kwenye mahusiano.

Lakini kitu kikubwa wasichovutiwa nacho ni mwanaume king’ang’anizi.

Utaonekana king’ang’anizi pale ambapo umejiwekeza kwenye mahusiano kuliko mwanamke.

Kuna muda mwanamke atajiweka mbali nawe kimakusudi. Tambua anakupima kama we ni king’ang’anizi.

Epuka tabia ya kumpigia simu au kutuma sms nyingi kutaka mahusiano na mwanamke.

Mahusiano ni idara ya mwanamke, mwache ye ndo awe king’ang’anizi wa mahusiano.

Mpe muda atake mwenyewe muwe kwenye mahusiano.
Kwa sisi wanaume, ni rahisi.
Tukiona mwanamke, tunaamua haraka tunataka kuwa naye au la.

Lakini wanawake inategemea na anavyojisikia kwa muda huo.
Mwanamke anahitaji muda kumjua mwanaume wake.
Kama ni sahihi kwa ajili ya kutengeneza naye familia.

Wekeza taratibu kwenye mahusiano.
Wakati mnaanza, mtakua mnawasiliana kidogo. Lakini kadri unavyoonesha yupo tayari kuwa nawe, ongeza ukaribu.

Kama mlikua mnakutana mara moja kwa wiki, unaweza kutana naye mara mbili kwa wiki.

Kama ulikua humtafuti mpaka wiki iishe, unaweza kumtafuta kati kati ya wiki. Lakini kuwa makini usiingie kwenye ung’ang’anizi. Ila ongeza muda unaotumia pamoja naye taratibu.

Kwenye kukutana kwenu usiwazie kuongea naye suala la kutaka kuwa naye kwenye mahusiano. Muda wako wekeza kwenye, kutoka naye, kufurahi naye na kufanya naye mapenzi.
Unapojipa muda maana yake mahusiano yenu yatakua yenyewe bila kulazimishana.
Hakuna sheria wala uratibu wa kumtongoza mwanamke. We ungia uwezavyo. Itafahamika mbele kwa mbele.

Wewe hujawah kuona mtu anamtongoza goma kama kipoozeo tu ila baada ya muda aona huyu ni wa kuoa kabisa? Hakuna formula kwenye kutongoza
 
Back
Top Bottom