Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

Hivi kunauwezekano kufundishwa skills za kijeshi alafu unakua tu raia wa kawaida unaendelea na mambo yako
 
Nyota ndio zipi hapo-Kuanzia kwa Luteni wa Pili
Wale wanaovaa mfano wa saa wanasimama wap-Maafisa Wateule
MP anasimama wap kicheo-MP sio cheo,mwenye cheo chochote anaweza kuwa MP.

Jamaa amenikumbusha mbali (mwaka 1994 nikiwa form 5 Tabora Boys) hata hivyo nilikaa term moja nikasepa. Msoto wa jeshi wataka moyo. MP siyo cheo bali ina maana "Military Police" yaani Mjeshi ambaye ni polisi. True - Askari mwenye cheo chochote aweza kuwa MP.
Jamaa amejitahidi kuonesha vyeo vya jeshi la TZ ila amekosea kidogo. Kabla ya cheo cha Jenerali kuna cheo cha Major Jenerali.
Vyeo vya juu zaidi ya jenerali ni:
1. Field Marshal - Mtaalam wa vita ya nchi kavu (mfano ni Fidel Castro)
2. Admiral - Vita ya majini
3. Air Marshal - Vita ya anga.
 
Mkuu, hajasahau cheo cha Major General, kipo, angalia vizuri. Na pia Major General sio cheo kinachofuata General, ni cheo cha chini ya Lieutenant General.

Field Marshal sio cheo, ni wadhifa unapowa ukiwa vitani, vita ikiisha unarudi na kuwa General wa kawaida.

Admiral ni sawa na General, sema Admiral ni kwa jeshi la maji.

Jamaa amenikumbusha mbali (mwaka 1994 nikiwa form 5 Tabora Boys) hata hivyo nilikaa term moja nikasepa. Msoto wa jeshi wataka moyo. MP siyo cheo bali ina maana "Military Police" yaani Mjeshi ambaye ni polisi. True - Askari mwenye cheo chochote aweza kuwa MP.
Jamaa amejitahidi kuonesha vyeo vya jeshi la TZ ila amekosea kidogo. Kabla ya cheo cha Jenerali kuna cheo cha Major Jenerali.
Vyeo vya juu zaidi ya jenerali ni:
1. Field Marshal - Mtaalam wa vita ya nchi kavu (mfano ni Fidel Castro)
2. Admiral - Vita ya majini
3. Air Marshal - Vita ya anga.
 
Mleta mada umenifumbua macho, ila kuna huyu mtu anaitwa COMMANDO/COMMANDOR/COMMANDER (sijui lipi sahihi), yeye anahusika na nini jeshini na yupo cheo kipi?
Kwenu wadau kwa msaada.

Askar wa rank yoyote anaweza kua commando cz ukomandoo ni course maalum kwa ajili ya maaskar wanaohitajika katika special operations zenye demand kubwa na risk kubwa ambapo askar wa kawaida hawez kuifikia performance yake.. Na commander au kwa kiswahili kamanda ni afisa tu yoyote wa jeshi anaweza kua kuanzia Luteni na kuendelea.
 
Askar wa rank yoyote anaweza kua commando cz ukomandoo ni course maalum kwa ajili ya maaskar wanaohitajika katika special operations zenye demand kubwa na risk kubwa ambapo askar wa kawaida hawez kuifikia performance yake.. Na commander au kwa kiswahili kamanda ni afisa tu yoyote wa jeshi anaweza kua kuanzia Luteni na kuendelea.

Asante kwa maelezo, nimeelewa sasa.
 
Huwa napenda kipindi cha Skonga kwa kuwa napenda kujua maendeleo ya wadogo zetu.
Kilichonishangaza ni kuwa wanafunzi hawajui kabisa mfumo wa vyeo vya Jeshi, maana kama Jitegemee hawajui basi hilo ni tatizo.
Lakini pia hata waandishi wa habari na watu wengine wengi hawajui na hilo huwapa shida katika utendaji wao hasa siku za kitaifa.
Mfumo wa vyeo vya JWTZ ni ule British Army kama ulivyo hapo chini;

NB
1. Hivyo vyekundu wenyewe wanaita vijogoo na huvaliwa kwenye kola kutambulisha makamanda wa kuanzia cheo cha kanali kwenda juu hadi Jenerali.
2. Kwa Jeshi letu vyeo vya Maafisa vinaanzia 2nd Lt hadi General, na vyeo vya Askari vinaanzia Private hadi WO
3. Kwenye Jeshi letu wanatumia Mwenge na bibi na bwana kwa mfumo unaofanana kama ulivyo hapo chini.


aeuk.jpg
 
Vp kuhusu kiwango cha elimu na cheo atakachopewa m2 aliyemaliza mafunzo ya uofsa, mfano mwenye degree, diploma, masters etc
 
Habari zenu nyote!
1. Naombeni msaada kwa yeyote anayejua vyeo vya kijeshi jinsi vilivyo. Mf.mwenye v moja ni nani n.k
2. Je vyeo hivyo ni sawa kwa majeshi yote yaani polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto na kwingineko? Mf. Polis Asiye na chochote ni sawa na jw asiye na chochote begani.
Binafsi nimetafuta hivyo vyeo humu jf but sijafanikiwa kupata any thread iliyonavyo, jeshini sijapata muda wa kwenda kuuliza but kwa vile nawaamini sana wana jf, nategemea msaada kwenu.
Ahsanteni sana.
 
wataka kuingia jesi?? wewe mkurya? kombania A ama mhehe kombania B?

ll-forces ranksNameCollar insignia
GeneralJeneralimalizia
Lieutenant GeneralLuteni Jeneralimalizia
Major GeneralMeja Jeneralimalizia
Brigadier GeneralBrigedia Jeneralimalizia
ColonelKanalingao na nyota 2 - kofia wekundu
Lieutenant ColonelLuteni Kanalingao na nyota moja
MajorMejangao megani
CaptainKapteninyita 3 kila bega
First LieutenantLuteninyota mbili kila bega
Second LieutenantLuteni Usu kanyota kamoja kila bega
All-forces ranksNameCollar insignia
Warant Officer Class IAfisa Mteule Daraja la Kwanzangao mkononi
Warant Officer Class IIAfisa Mteule Daraja la Pilimwenge mkononi
Staff SergeantSajinitaji V3 na mwenge wa uhuru
SergeantSajini V 3
CorporalKoplo - V2
Lance CorporalKoplo Usu - V
 
Back
Top Bottom