Usiyaanike juani maana wataalamu wanasema ukianika juani content yake ina-evaporate. Fanya kuyasambaza ndani ambapo jua halipigi, yakikauka unayasigina kupata unga wake
nimeqafuna km 3 nimepata njaa sasa nakula msosi nazila karibu kila sikuShukrani sana mkuu. Ubarikiwe
nimeqafuna km 3 nimepata njaa sasa nakula msosi nazila karibu kila siku
NDIO JAPO WAKATI MWINGINE ZINASABABISHA NIHARE HASA NIKIWA NIMEPIGA BIA SANA KINYWAJI ILA NIKITOKA HAPO NAKUWA SAFI SANA IMENIFANYA NIWE ADDICTED NIWE NA HAMU YA KUTAFUNA KILA SIKU...HOPEFULLY HAINA MADHARAunakula zile mbegu zake eeeh?
Unaitwa Moringa Oleifera kwa jina la kitaalamuMwenye picha ya mlonge plz au jina lake kwa kilugha cha Google ili tu prove na tulione hilo li mti
Unaitwa Moriga Oleifera kwa jina ]
Majani ya mlonge longe hayaanikwagi juani.
Unachokifanya unayaweka kivulini baada ya kuyachuma na itachukua siku tatu hadi nne kukauka,
Baada ya hapo unayatwanga na kuyachekecha, yatakua unga mlaini sana.
Ukiyaanika juani virutubisho vingi vinapotea kwa sababu ya evaporaion na hivyo unabaki na makapi tu.
Ndio maana haushauriwi kununua kutoka kwa wafanyabiashara maana wengi huwa wanaanika juani kwa sababu ya tamaa ya pesa.
Majani ya mlonge ni chakula tu kama vyakula vingine , wapo wanaopika kama mboga na kula na wanafaidika sana.Mkuu, yani nashukuru sana kwa maelezo yako yenye kujitosheleza. Swali la nyongeza... kiafya, nitumie vipi huo unga wa majani ya mlonge?
Ahsante
Majani ya mlonge ni chakula tu kama vyakula vingine , wapo wanaopika kama mboga na kula na wanafaidika sana.
Kwa mtu anayetumia kama supplement tu bila ugonjwa wowote inashauriwa atumie unga wake kijiko kimoja kidogo cha chai kwa siku anaweka kwenye chai au uji au mboga, na kwa kuwa hayana ladha kali hauna madhara ya harufu, sana sana utaona tu ule ukijani wake ukiwa umeongezeka.
Kwa mgojwa anayetaka ku-Boost immunity au mama anayenyonyesha ambaye hana maziwa au mtoto mwenye utapia mlo au mgonjwa wa ukimwi inashauriwa kutumia vijiko viwili vikubwa vya chakula kwa siku yaani kimoja asubuhi au mchana na kimoja jioni,
unamix kwenye mboga au chai au uji au juice ya kutengeneza nyumbani.
Kumbuka Mlonge longe hauna madhara kwa binadamu kwa hiyo ukinogewa hata ukala vijiko 100 kwa siku haina shida labda kama mtu ana matatizo binafsi kama allergy.
Ipo mikoa ambayo inatumia majani yake kama chakula kabisa, na zipo institutions nyingi tu za kulea watoto zinawawekea watoto wadogo kwenye uji wao kila siku asubuhi na afya zao ni nzuri kweli kweli na hata uwezo wa watoto kiakili una-improve sana.
mi natafuna sa hizi huwa natafunaga tu bila sababu ila zinanipa hamu ya kula sana njaa itawaka saa hizi mi natafuna mbegu ila sijui jinsi ya kutengeneza unga