Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Wadau ndo nimerudi toka MSITU wa pande jioni hii,nimechoka mbaya,BAISKELI yangu imepata pancha sita, Preta kanitosa kisa baiskeli badala ya V6, sijui alitegemea ningepata wapi na mimi sio Fisadi, namshukuru Cacico kwa kuja kunipa kampani ingawa nae sijui kayeyukia wapi, Charminglady usi cancel ile flight ya south, japo nimerudi na meno na kucha zangu ila nimechomwa na MIIBA international nahtaji matibabu maalum nje ya nchi,Bishanga achana na safari ya kwenda mochwari ila hizo pesa ambazo ungelipa mochwari nirushie kwa tiGO pesa,Pinokyo Jujumani ,Im back,Msangi hajatokea eti alienda tafuta ile radio call Muhimbili,Kama kawa nimekutana na Juma Mgaza kanisaidia kukokota baiskeli.Zaidi ule msitu ni mzuri nimeamua ntakuwa naenda every weekend!