Nilikuwa sehemu ya wapenzi wa kundi maarufu la vichekesho la ze comedy kipindi likitumia runinga za bwana Mengi, moja ya sababu za kulipenda kundi hili nikuwaigiza viongozi wa serikali kwa mazuri yao na mabaya! Lakini baada ya kundi hili kudai limepata marisho mapya ya kijani kibichi lilitua mikononi mwa tbc ccm, kile kinachotendwa na kundi hilo kimekuwa na walakini kwenyenye macho na akili yangu. Futuhi ni kundi lingine linalorusha vichekesho vyake kupitia Star tv lenye kuuvuta mtima wangu, binafsi kundi hili sioni kama limefungamanishwa na matakwa ya mtu/kundi fulani. Tatizo lake ni mazingira ya utengenezeaji wa kazi zake, mf dhana ya kichekesho utaona inatofautiana na sehemu waliyotengenezea. Hawa wangeweza kutengeneze maene kama dar vile tungewasahau kabisa akina masanja na joti!
Mtazamo wangu Futuhi wapo juu!!!
Jf mtazamo wenu plz!!!
Mtazamo wangu Futuhi wapo juu!!!
Jf mtazamo wenu plz!!!