Zayed Bakhressa na Mo GSM, tafsiri sahihi ya wakishua

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Dec 8, 2015
1,397
3,492
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
9430AB9D-0E3A-4DA4-9304-175F411910C5.jpeg


Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.

Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
 
Kak
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463

Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Kaka ikikupendeza urudi kujifunza.....katikati ya nne ni ngapi!!!?
Hapo wapo watu wanne huo utambulisho wako unamlenga yupi alie katakati yao??
 
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
View attachment 2662463

Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.

Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.

Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Vijana wabaya sana hawa , waliwahi mpiga Irene Uwoya mtungo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom