Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Pichani ni mjukuu wa Bakhresa ajulikanaye kama Zayed Bakhressa (katikati) akiwa na Mo GSM mtoto wa GSM na Rakin. Watoto wa kishua.
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.
Zayed Bakhressa ana account twitter mastaa wote wa bongo wamemfollow. Yaani akipost chochote unakuta mastaa wanajichekesha kwenye comment.
Dogo anaishi bongo kama yupo nje, anatembelea magari ya kifahari.
Ama kweli pesa sabuni ya roho na pesa inafanya dunia izunguke.